Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Sasa ni rasmi ndani ya miezi 6 wamiliki wapya wa Chelsea wametumia £460m kwenye usajili😂😂😂leo tena wamenunua huyu dogo Noni Madueke kutoka PSV...View attachment 2488000
😂😂😂😂 OllaChuga Oc mnatisha sana mnanunua na kutoa mikataba ya miaka mingi mno yaani hapa hawa wachezaji akitokea amechemka mtahangaika sana kuuza....
YNWA
Usajili mpya ni Arthur Melo Captain 😂😂Sasa ni rasmi ndani ya miezi 6 wamiliki wapya wa Chelsea wametumia £460m kwenye usajili😂😂😂leo tena wamenunua huyu dogo Noni Madueke kutoka PSV...
Liverpool nyie mtaota sana jamani yaaani MF mmoja anawashinda... We are damn cursed sio bure
YNWA
Timu imeshikiliwa na wahuni hiiSasa ni rasmi ndani ya miezi 6 wamiliki wapya wa Chelsea wametumia £460m kwenye usajilileo tena wamenunua huyu dogo Noni Madueke kutoka PSV...
Liverpool nyie mtaota sana jamani yaaani MF mmoja anawashinda... We are damn cursed sio bure
YNWA
Mhola sanaHow are you Ngosha?
You're missed.
YNWA
Wachezaji wa clip za YouTube hao kacheki clip za kibu Denis YouTubewewe jamaa umenichekesha sana
Aah mi hii team inanipa mateso naipenda sanaGive the boy time Dokta atakaa sawa... New league new team mate new formation, new expectations nk lakini pia ka join kipindi ambacho we are broken as a team, hana service ya kutosha ili a blossom..team attitude is low, low confidence, low penetration...hata Messi aki join sasa he will struggle 😂😂😂we are done...
YNWA
Kuna mda nahisi Boehly-Clearlake utasema sio wamarekani.Sasa ni rasmi ndani ya miezi 6 wamiliki wapya wa Chelsea wametumia £460m kwenye usajilileo tena wamenunua huyu dogo Noni Madueke kutoka PSV...
Liverpool nyie mtaota sana jamani yaaani MF mmoja anawashinda... We are damn cursed sio bure
YNWA
Mola duMhola sana
Wabeja 😊
Duh kama hivyo basi jamaa ni waumini wa tumia pesa upate pesa.. Kwa maana kwamba timu ikiwa na ubora kila nafasi inakua kata mti panda mti anatoka Sterling anaingia Mudryc au Madueke...Kuna mda nahisi Boehly-Clearlake utasema sio wamarekani.
Kinachonipa matumaini ni kuona Jinsi walivyowekeza kwenye LA Dodgers na ndio wanachokifanya huku.
Mateso ni makubwa sana kwa kweli maana Ligi bado sana na gemu ngumu bado zipo za kutosha na wazee wetu moyo unataka miguu inakataa.. Wamiliki wanategemea Klopp to pull them out of this man made situation lakini hata Klopp has limits he has worked wonders in th past n miracles operating kwa bajeti finyu ridiculous transfer ideas ambazo sasa zimefika mwisho kwao kwa kua hatuna tena star wa kuuza ili hio pesa iwekezwe kikosini...Aah mi hii team inanipa mateso naipenda sana

City akiwa anafukuziana na sisi mechi kama za everton , Man U, hapotezi kamweIf Liverpool tungekua better kama Mwaka jana na huu upepo wa City dah tungeshachukua hili kombe
Bad times bad times maskini
Kila msimu tulkua tunahangaika tupate 90+ ndo uhakika wa kuchukua kombe
Baada ya wiki chache atatua AnfieldUsajili mpya ni Arthur Melo Captain![]()





HTThe Reds
YNWA
Good morning my pipo![]()
Ila beki yenu imekua chekecheke saivi inavuja balaaHT
city 0 : 2 spazi
FT
City 4 : 2 spazi
Una hii habari?