juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Hoja sio Kutambulishwa, Hoja ni pale unaposema Ni mchezaj aliyewika kwenye world cup tu,Nikweli Enzo mzuri ila wewe Enzo umemjulia wapi ? Maana benfica ana miezi minne tu toka atoke River plate ,na wote wawili na Alvarez walikuwa wanapatikana jumla kwa €30m ,
Kwa hiyo Sababu City walimskauti ,Basi unadai alikuwa mzuri
Kumbuka kwanza hapo benfica ana miez minne na toa mmoja aliokuwa Qatar
World cup ndio limemtambulisha rasmi Hilo msikatae japo Mwanzon mwa world cup alishaanza kutajwatajwa
9 goals in 17 games
Sidhani kama mind inashida, tatizo alilonalo sasa ni confidence tu, na huwa inatokea kwa kila mchezaji, imetokea kwa Mane, imetokea kwa Salah, ilitokea kwa Suarez, ilitokea kwa Jota, ilitokea kwa Firmino etc, na hawa hili tatizo liliwatokea wakiwa tayari wamesha-stamp majina yao mbele ya opponents goals, ni suala la kawaida kwenye mpira.
na Nunez anacheza as a LW at LFC.
Hiki ulichokiandika hapa ni habari mbaya sana na ya kuogopesha kwa shabiki yoyote wa Arsenyani hapa duniani.1. United ni one of the most interesting projects right now, they've got a young and ambitious manager ambaye ana clear vision, Enzo can develop at United, ETH is a good coach, na kama akiwa solid na project anayotaka kuitengeza ETH at United, sidhani kama atakataa, plus itakuwa ni big advantage kwa United, kama LFC, City, Madrid wakishindwa kukubaliana na Benfica, United inaanza kuwa solid project now baada ya kupitia changamoto nyingi za usimamizi, hii denial tuliyonayo tuachane nayo.
2. If anything, ile interview ya Ronaldo imeharibu zaidi reputation yake kuliko United/ETH, na zaidi imeonesha kuwa ETH can manage "egos", na kwa shabiki yeyote yule anayeangalia mpira, ataelewa kuwa United wapo kwenye mikono salama na project yao ina-mature chini ya ETH, hence Ronaldo alikuwa hana nafasi tena, kama nilivyosema itakuwa ngumu sana kwa united kutengeza team from the scratch, but ETH vision is so clear, and the last thing i needed as a united hater ni wao kumu-hire ETH, atafanya vizuri at United, Time is a good healer.
3. Habari ya United kutaka ku-trigger RC ya Enzo, sijaitoa kwa hiyo source, i dont even know that source.
4. Glazzers wanachotaje hela kwenye A/C za club? Board inawazuaje Glazzers kuchota pesa kwenye A/C za club? ni saving A/C? suala la kuzuiwa na board kuchota pesa ina maana kuwa Glazzers wana direct link na A/C za United/business entity? how? then £24m tu? ndiyo ipo kwenye A/C ya MANCHESTER UNITED? are you hearing yourself? hii ni aina gani ya A/C?
5. United wanatumia RCF model kupitia BOA (Bank Of America), kila wanapotaka ku-make big signings, na sometimes siyo. lazima kwao kabisa kama Broadcasting, matchday & retail revenues zinakuwa zimejipa vizuri, RCF wanatumia sana kwenye emergency situations or kwanye big "pocket" signings, guess Sky Kaveh alikuwa anahitaji kuwaeleza hiyo loan inafanyaje kazi pamoja na applicability yake, and hakuna big (record) signings ambazo zinafanyika bila LOANS, unless uwe FSG (Sell 3 players to buy 1 big signing) ambayo ni very bad & terrible model.
United as a Company went public in 2012, na ni one of the very few clubs kama siyo wao tu, kuwa registered kweny NYSE (New York Stock Exchange) kitu ambacho big bonus kwa Glazers na kwa United at Large, United ni big LFC rival, but i've admitted mara nyingi sana kuwa ni one of the most biggest brands kwenye dunia ya michezo, na wamejizatiti heavy kwenye business placements, ni club pekee pale UK ambayo inayoweza ku-turn in billions of shillings kwenye revenues (broadcating, matchdays, merchandises etc) bila CL wala trophies zozote, mwezi wa sita mwaka huu kwenye report yao ya fedha wameingia zaidi ya £500m revenues, ukiachana na deni lao kubwa, what makes you think watashindwa ku-trigger RC ya Enzo? BOA hawatotoa mkopo? other banks (England, China, UAE, USA etc) hawatowapa mkopo? nani atakataa kwa hizo numbers za REVENUES? you think why Madrid wanapata kiburi cha kutoa 70m kwa a 16 year-old kid? Barcelona walijaharibia big time, na tumekuwa tukisubiri United wajiharibie kwa kipindi. gani mpaka sasa? from Di Maria, to Pogba, to Sancho, to Ronaldo, but the brand is still strong.
They want Gakpo now, you think PSV will settle for less? they were ready to pay up to 90m for De Jong, kitu gani kitawashinda kwa Enzo? a 21 year old with the whole world ahead of him?
United wont be "bad" for too long.
10 hug bado hajafikia hata alichofanya Ole guna sosha1. United ni one of the most interesting projects right now, they've got a young and ambitious manager ambaye ana clear vision, Enzo can develop at United, ETH is a good coach, na kama akiwa solid na project anayotaka kuitengeza ETH at United, sidhani kama atakataa, plus itakuwa ni big advantage kwa United, kama LFC, City, Madrid wakishindwa kukubaliana na Benfica, United inaanza kuwa solid project now baada ya kupitia changamoto nyingi za usimamizi, hii denial tuliyonayo tuachane nayo.
2. If anything, ile interview ya Ronaldo imeharibu zaidi reputation yake kuliko United/ETH, na zaidi imeonesha kuwa ETH can manage "egos", na kwa shabiki yeyote yule anayeangalia mpira, ataelewa kuwa United wapo kwenye mikono salama na project yao ina-mature chini ya ETH, hence Ronaldo alikuwa hana nafasi tena, kama nilivyosema itakuwa ngumu sana kwa united kutengeza team from the scratch, but ETH vision is so clear, and the last thing i needed as a united hater ni wao kumu-hire ETH, atafanya vizuri at United, Time is a good healer.
3. Habari ya United kutaka ku-trigger RC ya Enzo, sijaitoa kwa hiyo source, i dont even know that source.
4. Glazzers wanachotaje hela kwenye A/C za club? Board inawazuaje Glazzers kuchota pesa kwenye A/C za club? ni saving A/C? suala la kuzuiwa na board kuchota pesa ina maana kuwa Glazzers wana direct link na A/C za United/business entity? how? then £24m tu? ndiyo ipo kwenye A/C ya MANCHESTER UNITED? are you hearing yourself? hii ni aina gani ya A/C?
5. United wanatumia RCF model kupitia BOA (Bank Of America), kila wanapotaka ku-make big signings, na sometimes siyo. lazima kwao kabisa kama Broadcasting, matchday & retail revenues zinakuwa zimejipa vizuri, RCF wanatumia sana kwenye emergency situations or kwanye big "pocket" signings, guess Sky Kaveh alikuwa anahitaji kuwaeleza hiyo loan inafanyaje kazi pamoja na applicability yake, and hakuna big (record) signings ambazo zinafanyika bila LOANS, unless uwe FSG (Sell 3 players to buy 1 big signing) ambayo ni very bad & terrible model.
United as a Company went public in 2012, na ni one of the very few clubs kama siyo wao tu, kuwa registered kweny NYSE (New York Stock Exchange) kitu ambacho big bonus kwa Glazers na kwa United at Large, United ni big LFC rival, but i've admitted mara nyingi sana kuwa ni one of the most biggest brands kwenye dunia ya michezo, na wamejizatiti heavy kwenye business placements, ni club pekee pale UK ambayo inayoweza ku-turn in billions of shillings kwenye revenues (broadcating, matchdays, merchandises etc) bila CL wala trophies zozote, mwezi wa sita mwaka huu kwenye report yao ya fedha wameingia zaidi ya £500m revenues, ukiachana na deni lao kubwa, what makes you think watashindwa ku-trigger RC ya Enzo? BOA hawatotoa mkopo? other banks (England, China, UAE, USA etc) hawatowapa mkopo? nani atakataa kwa hizo numbers za REVENUES? you think why Madrid wanapata kiburi cha kutoa 70m kwa a 16 year-old kid? Barcelona walijaharibia big time, na tumekuwa tukisubiri United wajiharibie kwa kipindi. gani mpaka sasa? from Di Maria, to Pogba, to Sancho, to Ronaldo, but the brand is still strong.
They want Gakpo now, you think PSV will settle for less? they were ready to pay up to 90m for De Jong, kitu gani kitawashinda kwa Enzo? a 21 year old with the whole world ahead of him?
United wont be "bad" for too long.
Ni average player[emoji16][emoji16][emoji16] He's not an €85m striker.
Why Liverpool mnapenda Sana kumfananisha huyu Nunez na Gabriel Jesus kila huyu Dogo anapozingua9 goals and 3 assists in 17 games, thats 12 G/A in 17 games.
Gabriel Jesus has scored how many goals kwenye his 23 games appearances?
Rashford ndiyo Man United top scorer kwenye PL, with FOUR goals, na ame accumulate 15 G/A kwenye his 25 games appearances mpaka sasa
What about Sancho?
What about Aubameyang? Havertz?
Striker ambaye ana 12 G/A kwenye games 17 mpaka sasa, akicheza as a LW kwenye team ambayo ina-struggle vibaya now, hapewi nafasi ya ku-adjust, its absurd.
LFC fans inasikitisha kuona kila kukicha mnakuwa mnatafuta njia za kum-bash Nunez ili ku-prove your points, hamjui au mnajifanya hamuoni how bad our team ilivyo right now, we are 6 in the table na mpaka sasa Klopp anabadilisha shapes/formations kila games, hatuna identity, tuna-approach games kulingana na wachezaji watakaokuwepo kwa wakati huo.
Dokta Happy Boxing Day... Mbona huyu dogo jamani mnakosa imani nae mapema hivi....Kanapiga punyeto
Shida ni kuuza Mane na kuchukua haka katoto[emoji3064]Dokta Happy Boxing Day... Mbona huyu dogo jamani mnakosa imani nae mapema hivi....
Ana 23 tu hawa akina Salah, Mane walitua wakiwa wamekomaa zaidi huyu japo ana miaka hii bado nipo imani nae.
Hawa wachezaji hua 'wanachanganya' kitofauti tazama akina Messi, Gerrard, Ronaldo nk hawa walinganya mapema zaidi.
Nina imani kubwa sana na Nunez kwanza anajua kujiseti nafasi za kufunga ama kutengeneza nafasi kwa wengine, kwa kutumia nafasi hizo ana rekodi powa kabisa ya Ligi.. Mtihani uliopo kwake sasa ni kutumia hizi ziwe magoli hilo akifanikisha atakua bonge la strika na mpaka hilo afanikishe tuwe na subira nae.
Time will tell am super positive.
YNWA
Labda njia pekee ya kumfanya Nunez shine hapo Anfield ni kumchezesha kama beki tu, kama vipi akamatie mikoba ya Virgil van Dijk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dokta Happy Boxing Day... Mbona huyu dogo jamani mnakosa imani nae mapema hivi....
Ana 23 tu hawa akina Salah, Mane walitua wakiwa wamekomaa zaidi huyu japo ana miaka hii bado nipo imani nae.
Hawa wachezaji hua 'wanachanganya' kitofauti tazama akina Messi, Gerrard, Ronaldo nk hawa walinganya mapema zaidi.
Nina imani kubwa sana na Nunez kwanza anajua kujiseti nafasi za kufunga ama kutengeneza nafasi kwa wengine, kwa kutumia nafasi hizo ana rekodi powa kabisa ya Ligi.. Mtihani uliopo kwake sasa ni kutumia hizi ziwe magoli hilo akifanikisha atakua bonge la strika na mpaka hilo afanikishe tuwe na subira nae.
Time will tell am super positive.
YNWA
Huyo VVD is past his best man bora Nunez is coming to shine soon. Sishangai timu kuwekwa sokoni maana hawa FSG wanatazama kusuka hiki kikosi kina hitaji £250m kuweza kupambana tena ubingwa wa EPL wanaona bora wauze.. Kushindwa kwa Super League kwa hawa FSG ni pigo kubwa sana kwao. Wamepiga hesabu zao na kuona hakuna wachezaji wa kuuzwa kuwekeza kikosi hakuna zaidi aidha wauze klabu mazima ama wauze share kadhaa ama wapate mkopo Yaaani wamekamatika kweli.Labda njia pekee ya kumfanya Nunez shine hapo Anfield ni kumchezesha beki tu, kama vipi akamatie mikoba ya Virgil van Dijk[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila Nunez ni bonge la mchezaji, hiki anachopitia kwa sasa naimani ni upepo tu, ila atakapokuja kukaa sawa ataimbwa kama anavyoimbwa Mo Salah kipindi hiki.
😂😂😂😂😂Mane duh nishamsahau maana kumkumbuka kwamba FSG waliuchuna wakidhani atakumbali kupewa centi ilikua bad move.... Imagine kama Mane kama angetulia na kizazi kijacho Nunez akatua ingekua bomba sanaaaaa. Nwa hayo yashapita tuwe na utulivu tu kwa sasa na waliopo 😅😅😅...Shida ni kuuza Mane na kuchukua haka katoto[emoji3064]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Tangu kuumia kwa Diaz huyu dogo Nunez ametumika LW na kimsingi anajitajidi sana kwanza alikotoka alikua focal point Benfica pale mbele sasa akatua na kujikuta kuna mfumo tofauti na kule wakati anaanza ku settle CF majeruhi kwa Jota na Diaz na hatimae kujikuta sasa ni LW akicheza kwa bidii haswa sana kashatengeza nafasi kadhaa kwa Salah na wengine..9 goals in 17 games
Sidhani kama mind inashida, tatizo alilonalo sasa ni confidence tu, na huwa inatokea kwa kila mchezaji, imetokea kwa Mane, imetokea kwa Salah, ilitokea kwa Suarez, ilitokea kwa Jota, ilitokea kwa Firmino etc, na hawa hili tatizo liliwatokea wakiwa tayari wamesha-stamp majina yao mbele ya opponents goals, ni suala la kawaida kwenye mpira.
na Nunez anacheza as a LW at LFC.
Mimi sijasahau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mane duh nishamsahau maana kumkumbuka kwamba FSG waliuchuna wakidhani atakumbali kupewa centi ilikua bad move.... Imagine kama Mane kama angetulia na kizazi kijacho Nunez akatua ingekua bomba sanaaaaa. Nwa hayo yashapita tuwe na utulivu tu kwa sasa na waliopo [emoji28][emoji28][emoji28]...
YNWA