Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,463
- 32,908
Ni kupambana nae tu hakuna namna na kwa sasa Arsenal wana udhubutu, wana harmony, wana endurance, resilience, wana perseverance, wana mission, wamemwalewa Kocha nk hizo zote ni aspect za mshindani...HÀTUTOKUANGUSHA,YAANI KIPARA ANAPAMBANA NA KIVULI CHAKE,HATOBOI KWA MIKEL.....KINYAGO KACHONGA MWENYEWE....
Kumbe Kuna timu zimetuzidi kukumbatia michezaji mizee!Go Arsenal Go Arsenal...
Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.
Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.
Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.
YNWA
Tumeipenda wenyewe hakuna namna tupo mpaka kieleweke.Mkuu huyo mzee Hana jipya Tena he can't offer us anything
Hana mbinu tena washamjulia na NUNEZ n zigo la mavi Hilo n suala la muda TU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwenye Ligi nadhani wanatuzidi tu nadhani Fulham na Westham tu.Kumbe Kuna timu zimetuzidi kukumbatia michezaji mizee!
Kumkimbiza kipara aliye serious Kwa njia za janjanjanja lazima achoke.Go Arsenal Go Arsenal...
Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.
Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.
Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.
YNWA
Hata kama tumeipenda,Tumeipenda wenyewe hakuna namna tupo mpaka kieleweke.
YNWA
WachaaaaaBora leo Thiago yupo
Mzee amemuanzishaje bench kipenzi chake Le Capteeeeeen??
Hili libabu Milner hata lisipoingia ni sawa tu.
S.Gerrad apewe team haraka.Kumkimbiza kipara aliye serious Kwa njia za janjanjanja lazima achoke.
Hili lizee umefika muda kuondoka.. Captain sijui hata mnang'ang'ania Nini huyu Baba.