Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,466
- 32,913
Too much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...Huyu mtoto TAA kukaba bado hawezi
Mfanyeni wingaToo much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...
Makocha wa mabeki inabidi wawe na mbinu za ziada kwa huyu dogo.
YNWA
Huyu dogo kukaba bado hawezi.Too much sasa from Arnold tulifungwo na Real Madrid fainali na sasa ligi kashafungisha kwa kukosa umakini wake kuzuia yaaani hana kabisa instinct kiasi wachezaji sasa washajua namna ya kujiseti maana hataruka kuzuia yaaani kumbuka goli la kwanza la Fulham ilikua aruke lakini ndio akawa sapoti kwa Aleksander...
Makocha wa mabeki inabidi wawe na mbinu za ziada kwa huyu dogo.
YNWA
Hii timu mwaka huu ipo kutunyongaππππHaHaHaHaHa
Tunatamani achapwe chapwe maan ndipo hua zinamkaa vizuri.
Lakin taabu ni kwetu siye tulioichagua wenyewe.
YNWA
Mwaka huu nina wasiwasi na sisi tunaenda kupoteanaπTimu imejaa wagonjwa na bado tunaambiwa ma good times are coming kwa mwendo wa 4G π€π€π€
Some disappointment in life turns to be blessing = tuchapwe kabla ya dirisha kufungwo ili Klopp na Ma Yankees waache bla bla....
Edwards kafanya mengi mazuri sana lakini usajili wa Ox na Thiago ni janga kwa Liverpool hawana fitness ya ku fit uchezaji wa Klopp... Klopp anahitaji Toyota all seasons car yeye kanunua Euro cars choicy na expensive to maintain...
na hili la kumpa Keita mkataba mpya ndio nasema duniani maajabu yapo.
Klopp wala asijifiche kwa Bellingham asipoleta ubingwa msimu huu EPL itakua jambo njema aachie timu aje kocha mwenye kifua cha kutimua hawa ma dead woods wote... Bora kua na kikosi kiduchu cha wachezaji wazima kuliko hii ya Liverpool ya sasa kumejaa wagonjwa...
Tukumbushane tu ni kwamba Manchester United na Arsenal wamepoteana hili ilikua advantage kwa Liverpool kujizolea makombe EPL season after season lakini tumempa kipara platform kuifanya EPL farmers league...
Chelsea, Arsenal na Manchester United hawatapoteana milele one day watarejea kwenye ubora wao hivyo hii nafasi tulionao sasa ni adimu sana kutokea... Tazama Liverpool ilivyopoteana miaka ileee nini kilitokea Babu Fergie alijikusanyia EPL za kutosha i guess 13 yaaani hii ilitakiwa iwe case study kwa FSG lakini wenyewe wamekaa na kuona Big 4 ni ushindi tosha...
Tutaelewana tu.
YNWA
Liverpool uwezo wa kumlipa vizuri walikuwa nao,basi tu kujitoa ufahamu na kutothamini mchango wake.Mchezaji alitaka kuondoka mwenyewe ili apate malipo mazuri ambayo Liverpool hawana uwezo wa kulipa,muelewe.
Bado haizuii ukweli kuwa uwezo wake wa kukaba ni mdogo.Yaani hapo ndio napo washangaa watu, mimi siwezi kuwarahumu Robertson na TAA .
Huwezi kuwa mbele na nyuma utachelewa tu sehemu moja.
Akichelewa kurudi tunatoa rawama asipo panda mbele akikaa tu nyuma tunasema wamemzibiti haendi mbele ndio maana hatufungi
π π π Kuna siku Southgate alimchezesha kama MF haha wee Klopp akasema hilo kwako halipo.Mfanyeni winga
πππππTutajikataaaa haha ndio maana nilishasema pona yetu ni wapinzani wapoteane zaidi yetu yaaani tutakua safe ila wakiwa bora zaidi basi tuhesabu maumivuMwaka huu nina wasiwasi na sisi tunaenda kupoteanaπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutajikataaaa haha ndio maana nilishasema pona yetu ni wapinzani wapoteane zaidi yetu yaaani tutakua safe ila wakiwa bora zaidi basi tuhesabu maumivu
YNWA
Wanazidi kujipanga ,sisi bado tunajiona Exceptional wafanya miujizaπππππππππTutajikataaaa haha ndio maana nilishasema pona yetu ni wapinzani wapoteane zaidi yetu yaaani tutakua safe ila wakiwa bora zaidi basi tuhesabu maumivu
YNWA
Aisee na dirisha muda umebakia mchache sanaaa..Wanazidi kujipanga ,sisi bado tunajiona Exceptional wafanya miujizaππππ
Kieta is unhappy πππat last some good news π₯π₯π₯π₯tena atoe na transfer request asepe zake mapema sana.... Utasikia Klopp akipambana apewe miaka mitatu mkataba ndio utajua Klopp ana watu wake....Klopp muoga amweke TAA RW, nyuma yake hata acheze our grandpa himself Millie, patakua strong side (but i do not recommend it hahah) better Gomez.
Wachana na hii, huku mjini taarifa inasema "Keita is unhappy" taarifa nzuri. Twende Wolves tukachomoe mtu juu wameshamchukua M.Nunez.
Klopp akishinda Trafford ndio utasikia maneno we are backπ€π€π€π€.....Usijali mkuu mtaenda kufufuka kwa man u. Nawaambieni
We are back in business π€£Klopp akishinda Trafford ndio utasikia maneno we are backπ€π€π€π€.....
Haya ngoja Jumatatu tuone mambo niaje.
YNWA