Liverpool FC (The Reds) | Special Thread



Soooooon to be Kops favourite boy....

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Huyu dogo ndio atakua mchezaji wa kwanza Liverpool kulipwa £500k kwa wiki ama ndio atakua mchezaji wa kwanza kutoka EPL kuuzwa Real Madrid kwa £180m...

Go boy hit em hard...

YNWA
 


🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hatupoi....

YNWA
 
Lukaku mweupe
Aisee wakati Lukaku anatua kwa bwebwe tulikua hatupumui humu pamoja kwa kwamba mlitonywa huyu Lukaku hawezi mikiki ya EPL bado mlikomaa anawapa Epl 2022 lakini wapi huyo Inter tena baada ya kuwatia hasara ya kutosha....yaaaaani hata CR7 kamzidi kibegi Lukaku.

Hatuna noma na D Nunez hayu anakuja kufumania nyavu mtajua hamjui.

YNWA
 
Sio tuchel,kocha wenu alikuja kwa mbwembwe leo hii kiko wapi?

Klopp kashindikana hapo Epl sasa hivi mnamuombea mabaya tu,hamtafanikiwa ,

Tayari Klopp anauzoefu hapo Epl. Mtaendelea kutubu tu.
Tuchel amekaa msimu mmoja tu keshabeba makombe makubwa uyu Klopp alikaa miaka minne akistruggle kujenga timu, japo amefanikiwa Ila mwisho wake unakuja soon
Kaa kwa kutulia ..mutamkataa Klopp huu msimu mpya
#CFC💙💙💙
 
Nunez mmepigwa Hilo halihitaji mjadala kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo mshajihakikishia kabisa kuwa hao kina vvd na mzee wenu matip wanauwezo wa kumzuia mtu mrefu dunian terminator sybog halaand na Alvarez wasifunge goli? Mko na uhakika ?[emoji23]
 
Mkuu Mimi siongei Sana nadhani umejionea mwenyewe clip zinazosambaa mitandaoni sahv khs game yenu na mliocheza nao leo[emoji1787]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…