Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,349
- 6,421
I am so proud of this team. So proud
Ninachopenda kitu kimoja kwa Liverpool ni vile mashabiki wanavyowaunga mkono timu yao hata wanapopitia wakati mgumu huu ndio uzalendo kama slogan yao inavyosema YNWAI am so proud of this team. So proud.View attachment 2244562
Barcelona umepata nini msimu huu?Wanajifariji na makombe yao ya bata.
Wanajisahaulisha kilichowatokea jmosi.
Mzee wa ass defending mbona umepaniki?Nawewe
Barcelona umepata nini msimu huu?
Sijapaniki mkuuMzee wa ass defending mbona umepaniki?
Mkuu acha matusi fala ndio nini? Huyo ndio ushabiki sio! Shabikia mpira kwa hoja sio uanze kutuambia sisi nima fala mkuu isitoshe hum kuna mama zako, baba zako wapo walio kuzidi hum kuwa na heshima.Kila nikifikilia haya majamaa mishipaa imesimama yanapayuka ooooh "quadraple" nabaki nacheka ..!!fala Sana kuku wakubwa nyie
Nyie tim yenu imechukua kombe gani?Wanajifariji na makombe yao ya bata.
Wanajisahaulisha kilichowatokea jmosi.
Mkuu fala sio tusi ni kiunganishi cha maneno tu [emoji28]Mkuu acha matusi fala ndio nini? Huyo ndio ushabiki sio! Shabikia mpira kwa hoja sio uanze kutuambia sisi nima fala mkuu isitoshe hum kuna mama zako, baba zako wapo walio kuzidi hum kuwa na heshima.
😂 😂 😂 Na iwe hivyooooo maana mlizoea sapoti ya nguvu sanaa kwa Roman.kina boehly hatuna Shaka nao sio km kina FSG[emoji23] unless otherwise... kinachotupa afueni kidogo n kuwa hawa kina boehly wanamiliki klabu ya baseball kule marekani inaitwa la Dodgers n among the teams zinazospend Sana kwenye ligi hopeful watahamisha Hadi n Kwa Chelsea
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sio kwamba Mane anaona ameshashinda kila Kombe na Liverpool so anaona akatafute changamoto mpya?Uongozi wa liver Ni wakipumbavu Sana, wamegoma kumuongezea mshahara mane.
Neymar ni pancha.Akiondoka neymar na mbape pale psg,
Messi atakichafua mno, atarud kwny form
Aisee!!Binafsi nimefurahi kwa Mane kuondoka maana atatoa nafasi kwa Klopp kusajili Stricker ambaye atatumia nafasi kwa kiwango kikubwa zaid.
Salah na Mane wamefunga magoli mengi na yametusaidia sana ila they're not clinical mbele ya goli.
Wanaitaj nafasi 3 mpaka 5 kufunga goli moja.
SawaMkuu fala sio tusi ni kiunganishi cha maneno tu [emoji28]
Eti oil cash cows [emoji1][emoji1][emoji1]
La wasindikizaji wa ligi, mkuu. [emoji1][emoji1]Nyie tim yenu imechukua kombe gani?
Ligi haibebwi kwa penalties.Next season tunabeba EPL