Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] wahi hospital mapema.
 

Mwaka 2018/19 tulipobeba Ubingwa ni kwamba almost Timu zote kubwa zilipata points kwa Man City ndiyomana wakampunguza Kasi, sasa kwa Mtindo huu wa kuwa Man City kwa Timu kubwa zote anabeba points 6 wakati Liverpool anadondosha points kwa kina Chelsea, Leicester, Spurs n.k. unadhani atazuilika kweli?

Hii namaanisha kwamba kadri Timu kama Man United, Chelsea na Arsenal zinavyoendelea kuonesha udhaifu kwa Man City basi ndiyo Pep atazidi kutawala.

Siku Timu hizo zitakapoweza kugawana points at least 3 kwa 3 na Man City basi Pepe utawala wake utavunjika.
 
Arsenal imeshinda fA for years na watu wakawa wanajificha kwenye hoja ya hilo kombe ni la kitoto. Juzi liva kashinda FA na Robertson kaonekana analia kwa furaha na ghafla FA kimekua kikombe cha muhimu.

FA haijawahi kuwa kombe muhimu bado itabakia ni Mickey mouse Cup.
Ukimuuliza Mshabiki yoyote wa Liverpool utamkuta anafurahia zaidi kumfunga Chelsea kuliko kubeba hilo Kombe.
Hivyo utamu ulipatikana kwa kumfunga Chelsea na sio kubeba Mickey mouse Cup.
Liverpool imeshatoka kwenye Standard za FA na Carabao.
 

Hongera kwa kutambua kuwa timu yenye mafanikio inachukiwa. Liverpool haichukiwi hata punje tatizo lenu moja tu ni wazee walioishiwa mmebaki kujidai na kujifanya mnajua kila kitu. mashabiki wa liverpool wengi ni walevi.

Timu inayoongoza kwa kuchukiwa ni Chelsea na ndiyo timu yenye Mafanikio makubwa ndani ya miaka kumi na mbili ya sasa.
 
Una limited knowledge
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Numbisa jamani na huyu akichemka basi arejee babu Fergie.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…