Liverpool FC (The Reds) | Special Thread



Salah baada ya kukosa Afcon
Salah baada ya kukosa safari ya Qatar
Salah baada ya maswali mengi ya mkataba wake
Na magoli yamekimbia pazuri ni kwamba ma assist hayajakimbia aisee hivyo kwa sasa ushindi wa makombe kwetu ni bora zaidi kuliko kukomaa na hii ishu.

Salah atafikisha magoli 25 msimu nakuchukua kiatu chake awe na utulivu.

YNWA
 

Kwani yule si alikujibu kiutani tu? Mbona nahisi hakuwa serious πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Your browser is not able to display this video.


Moooood ndio hiiiiiiiiiiiiiiiiiii😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

Liverpool =joy bringers.

We are happy sana ma boys wanatuletea good times sana.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…