Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
Mkuu bila MF wa uhakika hakuna namna kwa mfumo wa Liverpool ulivyo Robbo na Trent ni MF maana wao ndio creators kazi ambayo kwa timu nyingi zinafanywa na MF...tusubiri msimu ujao tuone kama rasmi sasa Klopp anakwenda na 4 3 2 1 especially baada ya kumpata Fabio na pengine Bissouma.mie high line bado siikubali mpaka mwisho
Khaaa asa unamsaidia aje huyo maana Daraja ndio hiliπππππ
Uzuri liver inashinda mara nyingi kwahiyo full burudani yaani afu yeye anashabikia mitakataka ikiyokwama darajani.
Wakaribie Liverpool chama kubwaππKhaaa asa unamsaidia aje huyo maana Daraja ndio hili View attachment 2184117
Yaaani baada ya kuodoka Roman wamekua kama yatima hawana mwenyewe.
YNWA
Hivi mkuu huoni our WCP wameleta uefa, super up, CWC Yan makombe makubwa makubwa na bado sisi ni mabingwa watetezi ..Sasa ninyi players wenu kwa Jin's walivyo wa kawaida basi kwa kubeba carabao kwao ni ushindi tosha. Sisi ni Chelsea bwana alaah πππ ..tuna WCP ambapo Kila timu itahitaji huduma zao ..niambie ni wapi Werner au Harvet, au kante anaweza kosa namba? Sasa huyu mfano Jota au Diaz hao ata pale arse8 hhawapati nambaπ€£π€£π€£Kwa hio hao ma staaa wako ambao Liverpool hatuna wamekufikisha wapi EPL msimu huu.
Tuache maneno mengi, data ziongee tazama msimamo wa EPL.
View attachment 2183428
Haya sasa hao ma staa wako hawachezi Ligi hii?
Duuh ila haya mambo acheni tu leo hii Chugga anavizia kuingia humu mpaka kwanza apate matokeo. πππ.. Ligi inaanza alikua hakauiki humu kusema bingwa ni yeye tu.
Haya wewe koma na ma staa wako sie na hawa wa kwetu tuna Carabao ambao ma staa wako hawakuchezaπππ
YNWA
Hivi mkuu huoni our WCP wameleta uefa, super up, CWC Yan makombe makubwa makubwa na bado sisi ni mabingwa watetezi ..Sasa ninyi players wenu kwa Jin's walivyo wa kawaida basi kwa kubeba carabao kwao ni ushindi tosha. Sisi ni Chelsea bwana alaah πππ ..tuna WCP ambapo Kila timu itahitaji huduma zao ..niambie ni wapi Werner au Harvet, au kante anaweza kosa namba? Sasa huyu mfano Jota au Diaz hao ata pale arse8 hhawapati nambaπ€£π€£π€£
πππππ Kwa maneno tu haujambo.Hivi mkuu huoni our WCP wameleta uefa, super up, CWC Yan makombe makubwa makubwa na bado sisi ni mabingwa watetezi ..Sasa ninyi players wenu kwa Jin's walivyo wa kawaida basi kwa kubeba carabao kwao ni ushindi tosha. Sisi ni Chelsea bwana alaah πππ ..tuna WCP ambapo Kila timu itahitaji huduma zao ..niambie ni wapi Werner au Harvet, au kante anaweza kosa namba? Sasa huyu mfano Jota au Diaz hao ata pale arse8 hhawapati nambaπ€£π€£π€£
ππLiverpool baba lao.Wakaribie Liverpool chama kubwaππ
Waachane na timu za ajabuπ€£π€£π€£
Na Klopp ni baba lao[emoji23][emoji23]Liverpool baba lao.
YNWA
Anakuchoshaa bure huyo Ollachuga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa maneno tu haujambo.
Twende na Data sasa hakuna maneno hapa.
Huyo Jota mtazame ana goli 21 msimu huu sawa na magoli ya Lukaku + Werner [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukichukua magoli ya Kai+ Lukaku bado hawapati magoli ya Salah aafu unasema una wachezaji kiwango cha dunia.
Haya ngoja tuwaone kesho mastaa wako wakifanya jambo lao pale Madrid.
Wafungaji bora Liverpool msimu huu.
View attachment 2184278
Tazama hapo chini uone mlivyo achwa mbali na vijana wa Klopp kusaka magoli. Yaaani kila baada ya dakika 197/196 mfungaji wako bora anatupia goli..sasa tazama rekodi ya Jota unaemkataa pamoja na dogo hachezi gemu zote lakini kila baada ya dakika 137[emoji16] anatupia goli... Acha kumlinganisha Jota na hawa wachezaji wako wa bei ghali lakini magoli kusaka ni mizigo.
Kai mfungaji bora kwako ana magoli 13 huku Jota wa bei chee ana magoli 21.
Ubao wa wafungaji bora Chelsea msimu huu.
View attachment 2184272
YNWA
Yaaani hii Liverpool utaipenda tu. Kocha mshkaji hana mambo mengi mashabiki kidakidaki balaa na wachezaji ndio wale hawana makuu ni humble guys.Na Klopp ni baba lao
Timu ya dunia hii [emoji23]
Apambane na hali yake kama kweli yeye kidume cha UCL anavyojitapa basi amtemeshe Real Madrid ushindi nyumbani kwake.Anakuchoshaa bure huyo Ollachuga.
Katapotea tena jinsi watakavyotandikwa na RMadrid[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3590][emoji3590][emoji3590]Yaaani hii Liverpool utaipenda tu. Kocha mshkaji hana mambo mengi mashabiki kidakidaki balaa na wachezaji ndio wale hawana makuu ni humble guys.
Liverpool the Great.
Hate us love us, we are who we are and we are the Real Reds.
YNWA
Nasubiri tu ntakavyomzomea Ollachuga [emoji1787]Apambane na hali yake kama kweli yeye kidume cha UCL anavyojitapa basi amtemeshe Real Madrid ushindi nyumbani kwake.
Arejee hapa akiwa subiri aidha Kipara ama El Cholo aache maneno matupu sisi tunataka ubao usome mshindi sio bla bla za humu. Ni kesho sio mbali.
YNWA
Angalia kesho tunamfanya Nini Madirid..sisi fainal ni uhakika tunasubiri takataka kama liverkuku au takataka yeyote tuichabange...πππππ
Uzuri liver inashinda mara nyingi kwahiyo full burudani yaani afu yeye anashabikia mitakataka ikiyokwama darajani.
Kuliko niwe shabiki wa liverpulu Bora nikanywe zangu wanzuki nilale TU..Wakaribie Liverpool chama kubwaππ
Waachane na timu za ajabuπ€£π€£π€£