Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Klopp kama mashine aisee
Sijui anawatrain vipi hawa vijana wanakuwa wapambanaji mno.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]...

Ana akaunti yake twitter inaitwa no content haha anapiga ela sasa kimya kimya kama hayupo vile..

YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Huko Twitter sitampata aisee
Nyomi la watu.


Niliona naye anaupiga mwingi..
Akishapiga anarudi nyuma chap kulinda goli.
 
Huyu jamaa anajituma mno aisee
Sometimes watu wanamuona mbinafsi lakini inasaidia.

Anapambana hadi mwisho,hategi
Siyo kama michezaji ya man u.
Manchester United wanakuja Anfield ujue jiadae uwashukie uzini kuwapa updates pale Diaz anafanya jambo lake.

Kwanza kitendo cha Manchester United msimu huu wanatoka kapa bila kombe lolote mbona ni kiburudisho toshaaaa.

YNWA
 
Huyu Klopp kama mashine aisee
Sijui anawatrain vipi hawa vijana wanakuwa wapambanaji mno.
Hahaha ana jopo lake la walimu pale wamesheheni mbinu za kutosha.

Tupo kamili.

Klopp ni fundi kwanza hua ha panic akiwa na kikosi kizima hua anajua ushindi utachelewa lakini utakuja tu.

YNWA
 
Manchester United wanakuja Anfield ujue jiadae uwashukie uzini kuwapa updates pale Diaz anafanya jambo lake.

Kwanza kitendo cha Manchester United msimu huu wanatoka kapa bila kombe lolote mbona ni kiburudisho toshaaaa.

YNWA
Hivi hii mechi ni lini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaonea huruma.


Sijawahi ona timu inatia huruma kama man utd.
Unit yao sijui hata iko wapi

Bora wangejiita tu dis-united.
 


Yaani FSG watuletee huyu dogo na jameni mbona fingers crossed hatuna maneno nao.

Atue huyu dogo, Bissouma na Bremer na hakika tupo sorted kusaka kila kombe full throttle.

YNWA
 
Hivi hii mechi ni lini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaonea huruma.


Sijawahi ona timu inatia huruma kama man utd.
Unit yao sijui hata iko wapi

Bora wangejiita tu dis-united.
Inaitwa failing to plan is planning to fail hahaha watajiju walitucheka sana enzi ya Fergie sasa mambo yamegeuka kwao hawana uhakika hata ya Europa msimu ujao.

Wewe uliona wapi kikosi kinajengwa kwa kutazama zaidi baishara kuliko matokeo uwanjani.

Wapigike.

YNWA
 
Kweli wapo wanaangalia biashara,
Kweli if you fail to plan then you plan to fail.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…