Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Macho yake yanaogopeshaHahahahaha ni jamaa wa kazi kazi yule hanaga maneno mengi zaidi ya kufanya yake na sasa ana jambo lake anataka GOLDEN GLOVE SEASON HII ITUE KWAKE.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jana mara ya mwisho nimeona akitolewa bar akiwa kwenye machela. Sijajua hali yake kwa sasa nilikuwa busy sijaenda kumcheki.
Lazima waongee kishujaa mzee ni moja ya njia ya kuwa na confidence uwanjan ....wakiwa wanyonge saizi psychological uwanjan watakosa roho ya kupambana ....lazima wajivike roho ya simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachezaji wako washaanza maneno eti wamekamilika kila idara kuliko Liverpool hahaha sasa mbona wameruhusu gepu iwe ya pointi 1 tu.
Yaaani watulie kwanza wapambane na El Cholo kwanza maneno mengi hatutaki sisi kama wamekamilika ni sawa tu hatuna ubishi.
Kwa sasa tunawaza niaje pale Lisbon tutatoka aje na ushindi ugenini UCL. Tukishamalizana na hawa jamaa wabishi basi ndio tutaanza maadalizi mechi ya Ethad Jumapili ijayo.
YNWA
Una mzungumziaje Julian au unazungumzia Epl tu
Mfupi ila ufundi mwingi, ukikuta mtu mfupi anapiga soka ujue analipiga kweli mfano bwana Messi, torreira, Thiago, Salah hao ni baadh tu wa miaka hii bila kusahau Marehem maradonaDah coacher wa watford alitia huruma baada ya penati kupigwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Thiango mfupi aisee
Wataalamu nielekezeni hapa penati imetokeaje tokeaje?
Sijaelewa chochote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa
15 finals
Thatβs it!!
Jamani msisahau kuwaweka rent boys kwenye sala na maombi yenu
Wanateseka sana
Jana nilikutana na kijana mmoja wa chelsea anaongea peke yake
Nimeipenda Liverpool kwasababu ya kuwa na wachezaji wakawaida sana sio world class lakini kulingana na ufundishaji wa Klopp wanatupa makombe, vijana ni wapambanaji, angalia signing ya Luis Diaz ni kijana asie na jina lakini ni mpambanaji. Sasa hawa kina sijui Mbappe mara Haaland wabaki huko huko.Aisee itakua na Mbappe au Erling Haaland anatua Liverpool [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maana ukiachana na Mo kutaka pound for pound contract tetesi ni kwamba alitaka uhakika wa wachezaji wapya kusajiliwa ili kujenga timu ya ushindi. Tetesi ni kwamba sio tu alipwe vizuri lakini pia awe anacheza na wachezaji wenye kiu ya kupambana na kushinda makombe.
Habari kwamba anasaini ni safi kabisa ni ujumbe mwingine wale ma pundits waliosema Liverpool ni timu ya kuuza imekula kwao sasa watulie hukoo kusubiria bosman players.
YNWA
Hata mimi nashangaa mo, hatutaki ma star sisi tim yetu itakuwa kama PSG maana Messi yupo pale lakini hakuna anacho kifanya.I donβt see Mo being that arrogant
They won without mbappe nor Haaland
Shabiki mandazi azimie? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanza Mna uhakika OllaChuga Oc hajazimia huko aliko?[emoji1787]
Klopp is 6β3βHuyu jamaa kumbe ni mfupi hivi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jana mara ya mwisho nimeona akitolewa bar akiwa kwenye machela. Sijajua hali yake kwa sasa nilikuwa busy sijaenda kumcheki.
Eeh, bundesliga ni ndondo.Nazungumzia Makocha wa Ligi (EPL) Sizungumzii Makocha wa Ndondo
Eeh, bundesliga ni ndondo.
Yani kocha wa Bayern munchen ni kocha wa ndondo. Sawa.
Kumbe jamaa ni mrefu sana aisee!Klopp is 6β3β
Very tall
So anyone around him is more likely kuonekana mfupi
Ni siku ya pili sasa simuoni OllaChuga Oc [emoji23][emoji23][emoji23]Shabiki mandazi azimie? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanajitahidi Kwa kweliMfupi ila ufundi mwingi, ukikuta mtu mfupi anapiga soka ujue analipiga kweli mfano bwana Messi, torreira, Thiago, Salah hao ni baadh tu wa miaka hii bila kusahau Marehem maradona
πππππ Kwa kweli.Lazima waongee kishujaa mzee ni moja ya njia ya kuwa na confidence uwanjan ....wakiwa wanyonge saizi psychological uwanjan watakosa roho ya kupambana ....lazima wajivike roho ya simba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huenda mkuu [emoji23][emoji23]Wanajitahidi Kwa kweli
Na wewe mkuu ni mfupi nini?
Aiseee interesting.