Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa nani kakuambia kama kwa kuwa mmekusanya points nyingi, hamjafungwa tangu 2022, mmeshinda magoli 73 na kama hamna majeruhi ndio iwe sababu ya KUTOFUNGWA?

Unless you're not a football fan.

Nikuambie basi mpira hauko hivyo. Mark my words.
 
Marina sio mzuri kwenye scoutin, nimzuri kwenye negotiation, ila linapokuja swala la scouting yuko poor.
 
Amejitahidi sana ,ndio kwanza kacheza Mechi 5 tu lakini anaoneka kufata maelekezo vizuri sana.

Ni Bobby kabisa maana sio kwa mikimbio ile sijaangalia distance covered ila atakuwa anayo nyingi sana.
Sijatazama stat zake ile gemu lakini pass accuracy na pass completion alikua vizuri sana pia Klopp way false 9 ni ku link team play up front na link with MFs na dynamic RB na LB.

Bobby Firmino is the best false 9 in the world lakini Mane must have been taking notes nadhani pia sababu ya ushindani wa namba wa ma dogo wanajituma sana uwanjani maana wanajua sasa benchi limependeza na Klopp anachotaka ni pointi 3 kila gemu period.

Hivi bila kuja Diaz hata tungejua kama Mane yupo this flexible ki ufupi pale Liverpool sasa Diaz is really impacting the players in very unique way.

YNWA
 
Klopp is a huge admiral wa Graham Porter such a gentleman.

Klopp said in his free time he like watching Brighton games.

Ni kipofu tu atakua hajaona impact ya Diaz hapa Liverpool.

We are lucky we stole the deal from Tottenham kama vile Chelsea walisepa na Salah from Liverpool enzi za Rodgers au Willian again from Spurs au Dortmund walivyosepa na Markriatan from Liverpool again enzi za Rodgers. This time Klopp hakubahatisha.

YNWA
 
Sasa hivi wanaona aibu wako kimya.
Buying British players na utegemee makombe especially EPL iliisha na the so called class of 92 yaaani kwa sasa inabidi upige mixaArgentina, Brazil, Europe, Africa, Asia nk.

Tetesi ni kwamba hata baadhi ya wachezaji wenzie hawamkumbali.

Watajiju yaaani wale EPL watakua wanaona ribbon za Ethad, Anfield zikitawala mpaka waache kuziba vilaka waanze kusaka upya kikosi.

YNWA
 


Hakika bidii, kujituma ni jawabu ya changamoto.

Dogo akiwa mdogo alikua ni bonge kwa kukosa mlo na diet kamilifu hivyo alichekwa sana lakini hio hakuzuia atimiza ndoto yake ya kuboresha maisha ya familia yake waliokua wanaishi katika umaskini wa ajabu. Alifuata maelekezo ya walimu na ukitazama vyema hakuonekana hata kujiunga na academy yoyote akiwa na umri mdogo kwa sababu Mkoa alikozaliwa Colombia ni maskini hauna amsha amsha ni mkoa wenye maedeleo duni sana. Kwa sasa tetesi ni kwamba baadhi ya ma scouts wametuma mawakala kutazama vyema kama kuna Diaz mwingine huko wamwibue wapige ela.

Alianza kucheza mpira wa kueleweka nadhani akiwa na miaka 18 au 17 na tangu hapo hakurudi nyuma tena ni kijituma sana.

YNWA
 
Waache ujinga
Salah akiondoka nitawalaani sana.
 
Waache ujinga
Salah akiondoka nitawalaani sana.
Hahahaha ingekua Salah ni Mzungu Muingereza yaaani hawa ma pundits huko UK wangeanzisha mijadala kwa nini namba za Salah zinatosha alipwe hizo pesa anazotaka na kadhalika.

Hakuna shabiki wa Liverpool anaesema Salah aodoke tumemchoka mbali hawa hawa pundits sijui wamepewa mpunga na FSG wa spin mambo kwa niamba yao ama ni chuki binafsi kama walivyowaaminisha key board fans msimu uliopita kuhusu Gini.
Haya mambo hua nyuma ya pazia kuna ishu nyingi sana zinaedelea na unavyofanya dili na hawa mabepari ndio kabisa watalaam wa ku lobby fans kutumia njia tofauti wawe upande wao. Muda utasema.

Pagumu sasa Salah amesema hata akiondoka Liverpool anatamani abakie England πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏπŸ™†πŸΏkwa haraka haraka hapo ujumbe unatumwo kwa Manchester City, Chelsea mpya πŸ€”, Arsenal au Tottenham. Hili sakata ndio kwanza asubuhi.

Au Manchester United awe kama Owen hahaha from hero to zero πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚maana sasa mkataba ukiisha anakua free kujiunga popote yaaani.

YNWA
 
Aende tu Man city na watatunyoosha kweli kweli
Hao wanaoarrange hiyo mikataba ni wajinga sana.
Na wakishindwa kumuongezea mshahara akaondoka basi hii timu itaakiona Cha mtema kuni .
Wajinga hao,vijana wanajituma lakini hawaoni umuhimu wao..huko man u wanashinda kucheza rede mazoezini ila wanalipwa Hela za kutosha..sisi vijana wanataka kuvunja Hadi viuno ila hela za kuwalipa zinawauma sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…