Kuombwa msamaha?Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.
Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.
Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.
YNWA
πππππππUmetua jana hivyo yaaani alivyoingia kwa bwebwe sasa aka Penati Specialist hahaha kumbe wazee wa paneka wametulia wanamwangilia tu yaaani atakua anaota mpaka sasa.Aisee kwa lile shuti lake itakuwa kweli mpira umetua Kasulu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Wamlaumu yule Kepa aliyewapaishia mpira mawinguniEverton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.
Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.
Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.
YNWA
Ndio tulieni sasa tushawashinda[emoji23]Kuombwa msamaha?
Huo wehu hatutaki kuusikia.
Ukiona hivyo ujue Thomas is a real gentleman anaangalia mbele sio kupoteza muda na kombe lilotua Anfield by the way in a record 9th time.Kuombwa msamaha?
Huo wehu hatutaki kuusikia.
Subiri tukutane tena. Mtamjua vizuri TuchelibanNdio tulieni sasa tushawashinda[emoji23]
Mi nilikaona kanavyoviringa Mpira kwenye jezi huku wamekazingira pembeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umetua jana hivyo yaaani alivyoingia kwa bwebwe sasa aka Penati Specialist hahaha kumbe wazee wa paneka wametulia wanamwangilia tu yaaani atakua anaota mpaka sasa.
YNWA
Mlete mleteeeeeeSubiri tukutane tena. Mtamjua vizuri Tucheliban
Intermilan amewaexpose amefanya VVD aonekane kama Magwaya. Ni suala la muda tuMlete mleteeeeee
Tupo tupo tupo[emoji2]
Cha moto mtakiona mapema sana,wala hatutafika dakika mia mbili.
Wanamvyomtetea sijui kawapa makombe gani hukooo...Wamlaumu yule Kepa aliyewapaishia mpira mawinguni
Si mngeshatupiga sasaKwa marefa wanaojielewa Liverpunga napiga home and away bila huruma.
VVD ni binadamu,na hachezi pekeyake.Intermilan amewaexpose amefanya VVD aonekane kama Magwaya. Ni suala la muda tu
πππππππSijui kwa nini haukutua Mbeya haha ungepiga ela ndefu maana huo mpira unasakwa utauzwa kwa mnada ujue πππ...Mi nilikaona kanavyoviringa Mpira kwenye jezi huku wamekazingira pembeni
Nikasema hapa hamna kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wa Mbeya tunasema "No mbombo"
Siyo kwa hao marefa wenu wa michongoSi mngeshatupiga sasa
Mbona mlishindwa.
Yupo kazi maluum tumpate Darwin Nunez msimu ujao tutangaze ubingwa mwezi wa pili ππππππHivi MosDef yuko wapi anipe connection jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anipe japo namba ya Joel[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa fundi sana wa kupaishaWanamvyomtetea sijui kawapa makombe gani hukooo...
Watajiju.
Vijana wetu wamenyanyua kwapa Wembley hahaha ilikua tamuuu sana.
Its always sweet kuwachapa Chelsea haha tena upande ule ule waliokaa mashabiki wa Liverpool huku wakipiga shabgwe sana.
Worst sub for the season itakua ile ya Mendy Carabao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Inahidi nijenge naye urafikiYupo kazi maluum tumpate Darwin Nunez msimu ujao tutangaze ubingwa mwezi wa pili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
YNWA
Kubalini tuliwazidi uwezoSiyo kwa hao marefa wenu wa michongo
Hamna uwezo wowote.Kubalini tuliwazidi uwezo
Mtaendelea kulia.
Na mkicheza na sisi Tena tunawatandika vilevile.
Ungetua hapa green city ningeuokota Kwa bashasha sana maana ni maajabu haya Mpira wa penati unapigwa vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui kwa nini haukutua Mbeya haha ungepiga ela ndefu maana huo mpira unasakwa utauzwa kwa mnada ujue [emoji23][emoji23][emoji23]...
Kalijitia lesi kama boxer mpya kumbe kanaeda kuuza picha
YNWA