Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ewaaa liver baba lao..



Tuendelee sasa mkuu na zile nondo zetu,ulikuwa unanichambulia wachezaji.
 
Naona para la Fabinho.

Sema jamaa handsome sana aisee.
 
Njmewaza bila usajili wa Jota huenda january hii tungeketeseka sana...
No. hazidanganyi having Jota upfront huwezi kua na beki zinaranda randa zikimuacha.

Fainali inauma jana Salah mwili unafanya kazi akili haitaki, ameumizwa sana na kulikosa AFCON. Huenda target ilikua kupata AFCON imsaidie kudai mpunga mrefu kwenye mkataba na kuwania Ballon D'or.

Watu wa akili watakaa nae vyema hope vs Burnely Inter atarudi kwenye scoresheet.
 

Hiyo namba ya jezi,naona kama tutambadilishia tutampa namba 7.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…