Hivi Elliott akirejea na Thiago bado huyu Le Kapteni bado kweli na kuboronga kule ataedelea kupata namba.Here we come. Hendo in again 😂😂 Captain Marvelous View attachment 2083771
Hivi Elliott akirejea na Thiago bado huyu Le Kapteni bado kweli na kuboronga kule ataedelea kupata namba.
Nafasi ya nne inatuita kwa nguvu sanaaaaa....
Niliona ile mechi ya Carabao kuna muda gemu ilisimama Klopp akawa serious anatoa maelekezo kwa Henderson haha nakajiuliza like serious yaaani Henderson ndio anapewa mbinu za kuwachana solid Arsenal hahaha huyu mzee sijui uzee au hua anapagawa nini..
Hivi kwa nini kipindi kile Rodgers alishindwa kumuuza huyu dogo haya yote yangeisha hata kabla Klopp hajasaini Liverpool. Sijui Rodgers alikwama wapi kumpiga bei.
YNWA
Uchawi upo!Hahahahaha huyu bwana neno Lucky ndio mfano halisi.
He must be the luckiest lame duck out there...
Am positive hata Norwich hapati namba huyu.
Kitu hua nampedea tukiwa kikosi kamili ni kusimama kwenye channels na kuruhusu tempo on the flanks especially upande wa TAA yaani kwa hilo kwa vile na mwili anao basi analifanya vyema sana otherwise sioni kingine cha kumsifia.
YNWA
Natamani hata niwatandike fimboAmekujibu Chaliifrancisco haha majibu na picha murwa sana Klopp akifaidi vyake.
YNWA

Hendo on the lineup


huyu klopp anatutafuta nini lakini?Tunakikosi kipana balaaHahaha amekusikia, kikosi hiki hapa.
Liverpool XI:
Alisson, Alexander-Arnold, Matip, Van Dijk, Robertson, Jones, Henderson, Fabinho, Jota, Firmino, Oxlade-Chamberlain.
Subs: Kelleher, Konate, Milner, Gomez, Minamino, Tsimikas, Gordon, Williams, Morton.
YNWA



Mtoto pendwa wa Klopp.Hendo on the lineuphuyu klopp anatutafuta nini lakini?
Hahaha fimbo kama fimbo...Natamani hata niwatandike fimbo![]()
Hahaha huyu na Anceloti hawachekani ujue.View attachment 2083800
Mzee wetu lazima anatumia msuba.
Huwa tunashindwa kufurukuta vs low block formations. Sio mara moja angalia vs Chelsea first round, vs Man U after Pogba's red, last Thursday vs Arsenal and many others. Teams ziki park huwa tunakuwa clueless na mzee wako huwa hana solution huwa anasubiria bahati tu.Hahaha huyu na Anceloti hawachekani ujue.
Dakika 28 shot on target nadhani ni moja.
YNWA
Jurgen safari hii sijui amevuta bange ya wapi😁Hahaha fimbo kama fimbo...
Watakusaka ujue.
YNWA
Ngoja tupigwe ili akili imjie😒Hendo on the lineuphuyu klopp anatutafuta nini lakini?
Naomben kuuliza Jaman mapundits WA jf......tukimtoa hendo aingie nan??Ngoja tupigwe ili akili imjie![]()
Kwa mpira anaocheza jamaa siku hizi bora tukuanzishe hata wewe.Naomben kuuliza Jaman mapundits WA jf......tukimtoa hendo aingie nan??
Sent using Jamii Forums mobile app