Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,585
- 235,438
Sisi liverpool tunajiona mashujaa ndugu zake Yesu mtenda miujiza[emoji23][emoji23][emoji23]akiyanani!Hahahaha Kipara anasema kama ela ipo itumike hakuna namna ukweli hata Norwich wangekua na Mansour mbona wangekua mabingwa tayari... Mpira wa sasa ni pesa hakuna kingine kusubiri vitoto vya academy kama zamani haipo..
YNWA
Mwenzio nicheke maana ikifika muda wa chache sina cha kucheka ujue...Captain Marvelous hivi ni kwamba nakuchekesha kila muda jamani![emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2082319View attachment 2082320
Huyu jamaa ametokea kunivutia sana😂😂Kipara hanaga bla bla usimchokoze..
YNWA
Hahaha Klopp ana stress sijui kama ulimtzama vyema mechi ya juzi around dakika ya 70 hivi yaaani..Sisi liverpool tunajiona mashujaa ndugu zake Yesu mtenda miujiza[emoji23][emoji23][emoji23]akiyanani!
🤣🤣🤣🤣Mwenzio nicheke maana ikifika muda wa chache sina cha kucheka ujue...
YNWA
Nilienda kulala,,mechi hovyo vile moyo wa kuendelea kuitazama nautoa wapi mimi😀Hahaha Klopp ana stress sijui kama ulimtzama vyema mechi ya juzi around dakika ya 70 hivi yaaani..
YNWA
Hahaha kuishabikia Liverpool inahitaji kua na moyo wa chuma aisee maana unavyotegemea unakuta sio kabisaaa...Nilienda kulala,,mechi hovyo vile moyo wa kuendelea kuitazama nautoa wapi mimi😀
Hahaha ndio tulipofika sasa kutegemea kushinda ni big call khaaa kweli ngumu kumeza aise.Yaani timu yetu imefikia hatua ya kuanza kubahatisha kweli!😀
Kuamka asubuhi kucheki tokeo nakuta bilabila..Hahaha kuishabikia Liverpool inahitaji kua na moyo wa chuma aisee maana unavyotegemea unakuta sio kabisaaa...
YNWA
Hali mbayaHahaha ndio tulipofika sasa kutegemea kushinda ni big call khaaa kweli ngumu kumeza aise.
YNWA
Kabisa mkuu FSG out hawawezi kutufanya kila siku tuwe na majonzi sisi kwani nani hataki ubingwa? Angalia tunazidiwa hadi na Aston villa!Ndio hapo ndugu...
Ngoja kesho Mbuemo na Tony wana jambo lao sijui atasingizia nini aisee..
Hakuna progress bila kusaini wachezaji muhimu pale dirisha linaluhusu ajabu wa FSG niliona 2021 January yaaani walinzi wetu muhimu wapo mahututi lakini badala wanunue wachezaji wa maana tukaletewa Kabak na Davies vituko vya karne kwa hali mbaya tuliokua nayo... Nilichojifunza ni kwamba FSG wanaamini Klopp anauwezo kuleta mafanikio akiwa na kikosi chochote kile bila kuzingatia ubora wa wachezaji wanaonunua ndio maana hawa FSG hawajali sana mambo ya kununua wanachojua Klopp ana miujiza ya kuwafanya hata mediocre players kama Henderson kua World class haha.
Klopp pia ni binadamu ana limits zake pia.
FSG out hakuna namna.
YNWA
Hahaha uwe unaangalia mpaka press conference baada ya Mechi Klopp akihojiwa umsikie bla bla zake...Kuamka asubuhi kucheki tokeo nakuta bilabila..
Nilipata kizunguzungu😒
Nitamuangalia siku tukishinda.Hahaha uwe unaangalia mpaka press conference baada ya Mechi Klopp akihojiwa umsikie bla bla zake...
YNWA
Aston Villa wanantaka Bissouma duuh itakua bonge la MF tazama 6 acheze Bissouma, 8 acheze Buedia na 10 acheze Coutinho pale mbele 9 yupo Watkins yaaani jamaa watakua na timu murwa sanaaaaa.Kabisa mkuu FSG out hawawezi kutufanya kila siku tuwe na majonzi sisi kwani nani hataki ubingwa? Angalia tunazidiwa hadi na Aston villa!
Hamia cityHuyu jamaa ametokea kunivutia sana[emoji23][emoji23]
Timu yake hatuikamati pale juu
Unakosa vituko kumbe akisingiziaga upepo, VAR nkNitamuangalia siku tukishinda.
Tukishadraw au tukipigwa basi hakuna mtu ntamsikiliza😁
Bila kumkosa Steven Gerrad bonge la kocha.Aston Villa wanantaka Bissouma duuh itakua bonge la MF tazama 6 acheze Bissouma, 8 acheze Buedia na 10 acheze Coutinho pale mbele 9 yupo Watkins yaaani jamaa watakua na timu murwa sanaaaaa.
YNWA
Heee!🤣🤣😂😂Unakosa vituko kumbe akisingiziaga upepo, VAR nk
YNWA
Timu haihamiki mkuu.Hamia city
Jamaa kaamsha na 4 3 3 na mpaka sasa wachezaji wamemwelewa kazi inaonekana wanakielewa anachofundisha mwalimu.Bila kumkosa Steven Gerrad bonge la kocha.