Si tulikuja mkashindwa kutunyoosha?Hata nyie mbona hamjashinda??
Ndio ujue siku hazilingani...
Na mlivyokuwa hamuamini mmefurahia draw yaani.
Subiri mje kwetu tena pale kiumeni Anfield tuwanyooshe .
Wa covid wote wanarudi.Wachezaji wako wa muhimu wameondoka plus covid.
Punguza expectation utapata stroke.
Lower your expectation.Tutaendelea kuwachakaza hivyohivyo bila Mane wala Salah.
Wewe hamia tu.
Sasa subiri nao warudi utaona.Liver hana mF ya kueleweka huwezi kukubali hili.
Ndioo maana TAA ni beki ila ana mchango mkubwa kwenye magoal tenu kuliko hao watu wenu wa kati unaowasifia.
Kwani ni mara ya kwanza Mendy kudaka match ya man city? na tukashinda?Muwekeni awadakie na mechi ijayo ya man city[emoji23][emoji23]
Kipigo kipo nje nje.
Na hivi mkombozi wenu mbeba timu bovu ameondoka zake kwenda kucheza kwao...sasa mtapoteana.
Unaanza kuniogopesha kuhusu kipa wakati wa kwetu yupo,soon anarudi na hata asiporudi atadaka Kaleher huyuhuyu.
Moto ni uleule.Lower your expectation.
Wewe subiri tu... Me ntakukumbusha hao kina salah na mane wana umuhimu gani.Roho ilimuumaje jamani!
Anashangaa mpira uleee.
Btw jamaa uwezo mkubwa,kipindi cha pili alifight sana
Sasa imagine hawa matakataka wa OllaChuga Oc wanaenda kucheza bila huyu jamaa,,,hili timu linaenda kufia mbele.
Ndio nasema mpeni na hiyo adake.Kwani ni mara ya kwanza Mendy kudaka match ya man city? na tukashinda?
Uwe unaangalia mpira
Unajisikiaje baada ya mkombozi wenu kuondoka??Wewe subiri tu... Me ntakukumbusha hao kina salah na mane wana umuhimu gani.
Wenzako wanaelewa kitakachowapata.
Tunaongelea mechi za sasa..hatuongelei mechi zilizopita miaka ya MWALIMU.Si tulikuja mkashindwa kutunyoosha?
Hivi ulikuwa hujazaliwa wakati tupo 10 uwanjani na mkashindwa kutufunga?
Hiyo match wakati inachezwa weee ulikuwa hujazaliwa kwa hiyo kaa kwa kutulia.Ndio nasema mpeni na hiyo adake.
Na hamtoboi ng'oo..timu linaenda kuporomoka.
Hii siyo Liverpool ndio maana Lukaku kazingua katulizwa huko.Unajisikiaje baada ya mkombozi wenu kuondoka??
Msimu huu match iliyopita mlitufunga?Tunaongelea mechi za sasa..hatuongelei mechi zilizopita miaka ya MWALIMU.
njoeni sasa muone kazi yetu[emoji3]
Nyie hao hao!?Hii siyo Liverpool ndio maana Lukaku kazingua katulizwa huko.
Hatutegemei sana mtu mmoja kama nyinyi.
Siku za kilio zinakuja.Nyie hao hao!?
Kwani nani anategemea mtu mmoja?
Nasubiri hii ijayo ambayo tayari nimezaliwa..Hiyo match wakati inachezwa weee ulikuwa hujazaliwa kwa hiyo kaa kwa kutulia.
View attachment 2066724
Tunawafunga inayokuja.Msimu huu match iliyopita mlitufunga?
Za kwenu hizo na kipa wenu anayewabeba hayupo.Siku za kilio zinakuja.
Mashabiki wenzako wa Liverpool wamekaa kimya wamekuacha peke yako. Usidhani hawana akili.Za kwenu hizo na kipa wenu anayewabeba hayupo.
Na wewe wanakushangaa jinsi unavyopiga kelele humu wakati wanasubiri uondoke watoe analysis zao na kutoa ushauri namna ya kupanga timu.Mashabiki wenzako wa Liverpool wamekaa kimya wamekuacha peke yako. Usidhani hawana akili.