OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Tuta rudi na nguvu za kutosha hakika mjipange nyie matakataka.
Sisi ndio Chelsea..Wafalme wa London na England kwa ujumla.
Sisi ndio Chelsea..Wafalme wa London na England kwa ujumla.
Tutolee stori uchwara hapa ..hamuna timu ya kubeba kombe lolote msimu huuLeo Tupo Na Samba nambari 1 the bearded GK of Liverpool.
Allison Becker.
Born Allison Ramses Becker in 2/10/1992 in State of Rio Grande Do Sul Jiji la Novo Hamburgo Brazil.
Wazazi wake ni Baba Jose Agostinho Becker na Mamake ni Magali Lini De Souza Becker na asili yao ni Ujeremani.
Ana kakake aitwae Muriel Gustavo Becker.
Alilelewa maisha ya kati na babake alikua dalali wa nyumba.
Baba yao aliona mahala sahihi pa vijana wake kupata elimu safi kabisa ya kadada ni Academy ya Internacional. Allison akiwa na miaka 10 alijiunga nao mwaka 2002. Mwaka 2013 alipandishwa rasmi timu ya kwanza Internacional. Alicheza mechi yake ya kwanza 17/2/13.Alicheza mechi 115 pale Internacional.
Mwaka 2015 kipa mkongwe kutoka Brazil alishindwa kuinyakua nafasi ya Allison pale Internacional mpaka kumpelekea Dida kustaafu. Kitendo hiki kilivuta ma Scout wa Ulaya sana kuanza kumfuatilia na hatimae Roma wakafanikiwa kumshawishi ajiunge nao July 2016 kwa dau la Euro 7.5m. Hakua chaguo la kwanza Roma kwani alimkuta kipa Szczesny akiwa chaguo la kwanza lakini dogo alipambana mpaka msimu uliofuata akawa chaguo la kwanza huku Szczesny akitimkia Juventus.
Baada ya kua na msimu safii kabisa pale Roma akipata clean sheet 17 Serie A na UCl clean sheet 5 na baada ya Karius kutuvuruga sana fainali ya Uefa vs Real Madrid ilikua ni dhahiri Liverpool kupata kipa mwingine. Hivyo mnano tarehe 19/7/21 Liverpool walimsajili Allison Becker kwa dau la £66.8m ikiwa ni rekodi mpya wa kipa ghali sana duniani kwa wakati ule. Rekodi ile ilidumu kwa wiki nne tu na Chelsea wakamnunua Kepa Arrizabalaga kwa £71.6m ikiwa ni rekodi mpya ya dunia mpaka sasa kwa kipa.
Alitua Liverpool akiwa na miaka 25 na kupewa jezi namba 13 kwa msimu wa kwanza.
Msimu wa pili alipewa jezi nambari 1.
KEY POINTS FOR ALLISON.
* NI devoted Christian.
* knock out stage za UCl vs Napoli alituokoa wengi mnakumbuka hii gemu jamaa walitushbulia sana dakika za mwishoni lakini Allison alikomaa mpaka mwisho tukatoka salama.
* Mechi ya pili dhidi ya Barcelona pale Anfield alituokoa tena na Liverpool kushinda 4 0 kwa kumtoa Barcelona nje ya mashindano ya UCl.
* Fainali Champions League pale Wanda Metropolitano dhidi ya Tottenham alisimama vyema sana kutusaidia kushinda taji la 6 la UCL kwa kuwapiga Tottenham goli 2 kwa bila.
* Msimu wake wa kwanza alipata clean sheets 21 na kumpelekea kushinda tuzo ya kipa bora EPL.
* Tangu ametua Liverpool ameshinda
--Champions League 2018 2019 season
--Club World Cup 2018 2019 season
--EPL trophy 2019 2020.
* Alishinda pia Copa America 2019.
* Alishinda kipa bora wa Dunia mwaka 2019.
* alishinda kipa bora wa Uefa msimu wa 2017/2018.
* alishinda tuzo ya Yasin trophy mwaka 2019.
* goli yake dhidi ya West Bromwich ndio ilikua goli bora ya msimu wa 2020 2021.
*Alisson ndio kipa pekee katika historia ya Liverpool ya miaka 130 kufunga goli kwenye competitive game akifanya hivyo dhidi ya West Bromwich Albion na kusaidia Liverpool kushinda mechi ile kwa goli 2 kwa 1 na kutuweka nafasi salama kumaliza top 4 last season 2020 2021.
*Alisevu penati yake ya kwanza dhidi ya Chelsea (Jorginho) 20/9/20. Alisaidia Liverpool kushinda mechi hio kwa goli 2 bila.
* Allison key areas alipo bora ni kwenye speed with both his hands and legs, crucial saves, timely tackles, blocks akitumia mwili wake wote kwa vile sio muoga. Ana distribute mpira kwa miguu ama mikono kwa kiwanga cha juu sana. Anajua ku ji position. Works really hard na ni team player.
* his idols ni Victor Valdes of Barcelona na Maneul Neuer wa Bayern Munich.
* ameshacheza gemu 149 hapa Liverpool.
* mkataba wake Liverpool unaisha 30/6/2027 huku akilipwa around £150,000 kwa wiki.
* Mwaka 2015 alimuoa mpenzi wake wa siku nyingi Natalia Loewe daktari kutoka Brazil. Wamejaaliwa watoto watatu. Mtoto wa kwanza wa kike jina Helena akizaliwa April 2017 na wa pili mtoto wa kiume Matteo akizaliwa 4/6/2019. Na mwaka huu 11/5/21 wakapata mtoto wao watatu wa kiume.
* Kakake Muriel Becker ni kipa akichezea timu ya Fluminesse Brazil.
* Nick name for Alisson
..... Ally
.... The German(wazazi wake wana asili ya Ujeremani.
..... Messi of goal keepers.
* anapenda pia kuedesha baiskeli na ni mpiga guitar safi kabisaaaa.
* anapendelea kuedesha magari ya kifahari aina ya Audi Q7, Range Rover na Mercedes Benz.
YNWA
Kusoma tu kipa wako Kepa hapo ume panic ndugu..na pale mlipigwaaaaaaaaaTutolee stori uchwara hapa ..hamuna timu ya kubeba kombe lolote msimu huu
Sitasahau lile goli alilookoa vs napoliLeo Tupo Na Samba nambari 1 the bearded GK of Liverpool.
Allison Becker.
Born Allison Ramses Becker in 2/10/1992 in State of Rio Grande Do Sul Jiji la Novo Hamburgo Brazil.
Wazazi wake ni Baba Jose Agostinho Becker na Mamake ni Magali Lini De Souza Becker na asili yao ni Ujeremani.
Ana kakake aitwae Muriel Gustavo Becker.
Alilelewa maisha ya kati na babake alikua dalali wa nyumba.
Baba yao aliona mahala sahihi pa vijana wake kupata elimu safi kabisa ya kadada ni Academy ya Internacional. Allison akiwa na miaka 10 alijiunga nao mwaka 2002. Mwaka 2013 alipandishwa rasmi timu ya kwanza Internacional. Alicheza mechi yake ya kwanza 17/2/13.Alicheza mechi 115 pale Internacional.
Mwaka 2015 kipa mkongwe kutoka Brazil alishindwa kuinyakua nafasi ya Allison pale Internacional mpaka kumpelekea Dida kustaafu. Kitendo hiki kilivuta ma Scout wa Ulaya sana kuanza kumfuatilia na hatimae Roma wakafanikiwa kumshawishi ajiunge nao July 2016 kwa dau la Euro 7.5m. Hakua chaguo la kwanza Roma kwani alimkuta kipa Szczesny akiwa chaguo la kwanza lakini dogo alipambana mpaka msimu uliofuata akawa chaguo la kwanza huku Szczesny akitimkia Juventus.
Baada ya kua na msimu safii kabisa pale Roma akipata clean sheet 17 Serie A na UCl clean sheet 5 na baada ya Karius kutuvuruga sana fainali ya Uefa vs Real Madrid ilikua ni dhahiri Liverpool kupata kipa mwingine. Hivyo mnano tarehe 19/7/21 Liverpool walimsajili Allison Becker kwa dau la £66.8m ikiwa ni rekodi mpya wa kipa ghali sana duniani kwa wakati ule. Rekodi ile ilidumu kwa wiki nne tu na Chelsea wakamnunua Kepa Arrizabalaga kwa £71.6m ikiwa ni rekodi mpya ya dunia mpaka sasa kwa kipa.
Alitua Liverpool akiwa na miaka 25 na kupewa jezi namba 13 kwa msimu wa kwanza.
Msimu wa pili alipewa jezi nambari 1.
KEY POINTS FOR ALLISON.
* NI devoted Christian.
* knock out stage za UCl vs Napoli alituokoa wengi mnakumbuka hii gemu jamaa walitushbulia sana dakika za mwishoni lakini Allison alikomaa mpaka mwisho tukatoka salama.
* Mechi ya pili dhidi ya Barcelona pale Anfield alituokoa tena na Liverpool kushinda 4 0 kwa kumtoa Barcelona nje ya mashindano ya UCl.
* Fainali Champions League pale Wanda Metropolitano dhidi ya Tottenham alisimama vyema sana kutusaidia kushinda taji la 6 la UCL kwa kuwapiga Tottenham goli 2 kwa bila.
* Msimu wake wa kwanza alipata clean sheets 21 na kumpelekea kushinda tuzo ya kipa bora EPL.
* Tangu ametua Liverpool ameshinda
--Champions League 2018 2019 season
--Club World Cup 2018 2019 season
--EPL trophy 2019 2020.
* Alishinda pia Copa America 2019.
* Alishinda kipa bora wa Dunia mwaka 2019.
* alishinda kipa bora wa Uefa msimu wa 2017/2018.
* alishinda tuzo ya Yasin trophy mwaka 2019.
* goli yake dhidi ya West Bromwich ndio ilikua goli bora ya msimu wa 2020 2021.
*Alisson ndio kipa pekee katika historia ya Liverpool ya miaka 130 kufunga goli kwenye competitive game akifanya hivyo dhidi ya West Bromwich Albion na kusaidia Liverpool kushinda mechi ile kwa goli 2 kwa 1 na kutuweka nafasi salama kumaliza top 4 last season 2020 2021.
*Alisevu penati yake ya kwanza dhidi ya Chelsea (Jorginho) 20/9/20. Alisaidia Liverpool kushinda mechi hio kwa goli 2 bila.
* Allison key areas alipo bora ni kwenye speed with both his hands and legs, crucial saves, timely tackles, blocks akitumia mwili wake wote kwa vile sio muoga. Ana distribute mpira kwa miguu ama mikono kwa kiwanga cha juu sana. Anajua ku ji position. Works really hard na ni team player.
* his idols ni Victor Valdes of Barcelona na Maneul Neuer wa Bayern Munich.
* ameshacheza gemu 149 hapa Liverpool.
* mkataba wake Liverpool unaisha 30/6/2027 huku akilipwa around £150,000 kwa wiki.
* Mwaka 2015 alimuoa mpenzi wake wa siku nyingi Natalia Loewe daktari kutoka Brazil. Wamejaaliwa watoto watatu. Mtoto wa kwanza wa kike jina Helena akizaliwa April 2017 na wa pili mtoto wa kiume Matteo akizaliwa 4/6/2019. Na mwaka huu 11/5/21 wakapata mtoto wao watatu wa kiume.
* Kakake Muriel Becker ni kipa akichezea timu ya Fluminesse Brazil.
* Nick name for Alisson
..... Ally
.... The German(wazazi wake wana asili ya Ujeremani.
..... Messi of goal keepers.
* anapenda pia kuedesha baiskeli na ni mpiga guitar safi kabisaaaa.
* anapendelea kuedesha magari ya kifahari aina ya Audi Q7, Range Rover na Mercedes Benz.
YNWA
Yaaani ile save ilikua dakika ya 92 shoti kali sana kutoka kwa Arkadiuz Milik. Ile gemu ilikua aidha tushinde 1 bila ama Napoli wakifunga moja basi na sisi tuwapige 2 ina maana pale dakika ya 92 Napoli wangepata goli ilikua tumetolewa Champions League msimu ule 2018 2019.Sitasahau lile goli alilookoa vs napoli
OhLeo Tupo Na Samba nambari 1 the bearded GK of Liverpool.
Allison Becker.
Born Allison Ramses Becker in 2/10/1992 in State of Rio Grande Do Sul Jiji la Novo Hamburgo Brazil.
Wazazi wake ni Baba Jose Agostinho Becker na Mamake ni Magali Lini De Souza Becker na asili yao ni Ujeremani.
Ana kakake aitwae Muriel Gustavo Becker.
Alilelewa maisha ya kati na babake alikua dalali wa nyumba.
Baba yao aliona mahala sahihi pa vijana wake kupata elimu safi kabisa ya kadada ni Academy ya Internacional. Allison akiwa na miaka 10 alijiunga nao mwaka 2002. Mwaka 2013 alipandishwa rasmi timu ya kwanza Internacional. Alicheza mechi yake ya kwanza 17/2/13.Alicheza mechi 115 pale Internacional.
Mwaka 2015 kipa mkongwe kutoka Brazil alishindwa kuinyakua nafasi ya Allison pale Internacional mpaka kumpelekea Dida kustaafu. Kitendo hiki kilivuta ma Scout wa Ulaya sana kuanza kumfuatilia na hatimae Roma wakafanikiwa kumshawishi ajiunge nao July 2016 kwa dau la Euro 7.5m. Hakua chaguo la kwanza Roma kwani alimkuta kipa Szczesny akiwa chaguo la kwanza lakini dogo alipambana mpaka msimu uliofuata akawa chaguo la kwanza huku Szczesny akitimkia Juventus.
Baada ya kua na msimu safii kabisa pale Roma akipata clean sheet 17 Serie A na UCl clean sheet 5 na baada ya Karius kutuvuruga sana fainali ya Uefa vs Real Madrid ilikua ni dhahiri Liverpool kupata kipa mwingine. Hivyo mnano tarehe 19/7/21 Liverpool walimsajili Allison Becker kwa dau la £66.8m ikiwa ni rekodi mpya wa kipa ghali sana duniani kwa wakati ule. Rekodi ile ilidumu kwa wiki nne tu na Chelsea wakamnunua Kepa Arrizabalaga kwa £71.6m ikiwa ni rekodi mpya ya dunia mpaka sasa kwa kipa.
Alitua Liverpool akiwa na miaka 25 na kupewa jezi namba 13 kwa msimu wa kwanza.
Msimu wa pili alipewa jezi nambari 1.
KEY POINTS FOR ALLISON.
* NI devoted Christian.
* knock out stage za UCl vs Napoli alituokoa wengi mnakumbuka hii gemu jamaa walitushbulia sana dakika za mwishoni lakini Allison alikomaa mpaka mwisho tukatoka salama.
* Mechi ya pili dhidi ya Barcelona pale Anfield alituokoa tena na Liverpool kushinda 4 0 kwa kumtoa Barcelona nje ya mashindano ya UCl.
* Fainali Champions League pale Wanda Metropolitano dhidi ya Tottenham alisimama vyema sana kutusaidia kushinda taji la 6 la UCL kwa kuwapiga Tottenham goli 2 kwa bila.
* Msimu wake wa kwanza alipata clean sheets 21 na kumpelekea kushinda tuzo ya kipa bora EPL.
* Tangu ametua Liverpool ameshinda
--Champions League 2018 2019 season
--Club World Cup 2018 2019 season
--EPL trophy 2019 2020.
* Alishinda pia Copa America 2019.
* Alishinda kipa bora wa Dunia mwaka 2019.
* alishinda kipa bora wa Uefa msimu wa 2017/2018.
* alishinda tuzo ya Yasin trophy mwaka 2019.
* goli yake dhidi ya West Bromwich ndio ilikua goli bora ya msimu wa 2020 2021.
*Alisson ndio kipa pekee katika historia ya Liverpool ya miaka 130 kufunga goli kwenye competitive game akifanya hivyo dhidi ya West Bromwich Albion na kusaidia Liverpool kushinda mechi ile kwa goli 2 kwa 1 na kutuweka nafasi salama kumaliza top 4 last season 2020 2021.
*Alisevu penati yake ya kwanza dhidi ya Chelsea (Jorginho) 20/9/20. Alisaidia Liverpool kushinda mechi hio kwa goli 2 bila.
* Allison key areas alipo bora ni kwenye speed with both his hands and legs, crucial saves, timely tackles, blocks akitumia mwili wake wote kwa vile sio muoga. Ana distribute mpira kwa miguu ama mikono kwa kiwanga cha juu sana. Anajua ku ji position. Works really hard na ni team player.
* his idols ni Victor Valdes of Barcelona na Maneul Neuer wa Bayern Munich.
* ameshacheza gemu 149 hapa Liverpool.
* mkataba wake Liverpool unaisha 30/6/2027 huku akilipwa around £150,000 kwa wiki.
* Mwaka 2015 alimuoa mpenzi wake wa siku nyingi Natalia Loewe daktari kutoka Brazil. Wamejaaliwa watoto watatu. Mtoto wa kwanza wa kike jina Helena akizaliwa April 2017 na wa pili mtoto wa kiume Matteo akizaliwa 4/6/2019. Na mwaka huu 11/5/21 wakapata mtoto wao watatu wa kiume.
* Kakake Muriel Becker ni kipa akichezea timu ya Fluminesse Brazil.
* Nick name for Alisson
..... Ally
.... The German(wazazi wake wana asili ya Ujeremani.
..... Messi of goal keepers.
* anapenda pia kuedesha baiskeli na ni mpiga guitar safi kabisaaaa.
* anapendelea kuedesha magari ya kifahari aina ya Audi Q7, Range Rover na Mercedes Benz.
YNWA
Kapambane na timu lako mkuu.Tutolee stori uchwara hapa ..hamuna timu ya kubeba kombe lolote msimu huu
Point of correction alisajiliwa Liverpool 19 July 2018 na sio 19 July 2021.Oh
Hiyo mechi aliyofunga goli sikuangalia ,itabidi niicheki.
Tuendelee mkuu
Nafurahi sana kusoma maandishi yako.
Oh nishaelewa mkuu.Point of correction alisajiliwa Liverpool 19 July 2018 na sio 19 July 2021.
YNWA

Huyu Ollachuga Oc hata asikusumbue aisee Leeds United wakikomaa mbona hutamuona humu kwa wiki nzima.Kapambane na timu lako mkuu.
Mimi ndiye nilimuomba hizi stori.
Bora timu lao lifungwe apotee.Huyu Ollachuga Oc hata asikusumbue aisee Leeds United wakikomaa mbona hutamuona humu kwa wiki nzima.
YNWA
Hahaha yule ni jamaa yangu kitambo sana sinagi noma nae hua naacha matokeo yaongee uwanjani.Bora timu lao lifungwe apotee.
Ana kelele.
Huo muda unamjibu kelele zake ungekuwa ushashusha nondo nyingine ya virgil mkuu.
Hahaha yule ni jamaa yangu kitambo sana sinagi noma nae hua naacha matokeo yaongee uwanjani.
Kesho utapata ya VVD.
YNWA
sawa mkuu,nasubiri