Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acha chuki kwa Liverpool utakufa mapema maana naona unashinda kwenye jukwaa hili au kule Jukwaa la Cheltako umepigwa exile
Nipigwe exile na nani nyie Kunguni?

Timu yangu inafanya vizuri nakaa nadiscuss nini?

Tunakuja huku kwa Liverkuku....

Sisi hatuna gundu kama nyie... tukikaa juu tumekaa.
 
Kwahiyo sisi ndo hatufanyi vizuri, ulitakiwa ukashinde majukwaa ya Arse8 na manyumbu utd nimeshakujuwa una chuki binafsi na liverpool
Nipigwe exile na nani nyie Kunguni?

Timu yangu inafanya vizuri nakaa nadiscuss nini?

Tunakuja huku kwa Liverkuku....

Sisi hatuna gundu kama nyie... tukikaa juu tumekaa.
 

Inapofika wakati wa usajili wale mahututi wetu wote huwa ni wazima! Hivyo tunaonekana kuwa tuna Bonge la Kosi na huonekana kuwa hakuna tena umuhimu wa kusajili! Lakini baada ya mechi 5 tu tunabaki na Robo kikosi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…