Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hili Mkuu ulishaliweka sawa kipimo chao ni Majogoo...

YNWA
 
Ndio kumpiga mwenzie kibondia vile!
Lol, expectations zake ndizo zinazomuharibu kichwa.
Akubali tu zama zake zakaribia kuishia,, Kuna upcoming players walio better zaidi yake kwa Sasa.


Mechi ya leo sijaicheck,,nadhani nitaangalia Kesho marudio.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi Liverpool huwa niwastaarabu sana sijui yenyewe yanakujaje kwenye uzi wetu
 
Hahaha bhana huo ndio ukweli walikuwepo akina Zizou, Gaucho, Platini, Nedved, Romario, Xavi, SG, Kaka, Maradona, Pele nk na leo imebaki historia... Kwa sasa atulie kwanza tupo kukazi zaidi hizi individual accolades tutajuana mwisho wa msimu nani nani...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kufungwo kunauma achaaaa yaaani usishangae tena kufungwo nyumbani na hasimu wakoo mkuuuu yaaani tena mbele ya mashabiki wako na huku bookies majuu ziliwaaminisha wapo bora yetu watamaliza juu yetu yaaani japo kwa hii EPL yote yanawezekana lakini tukumbushane tu winning is addictive na vile vile losing is addictive hivyo ni cross roads kwa timu zote chini ya Les Blues kutafuta winning formula..

Am positive Klopp will turn this around... Wengine watajiju hayatuhusu kwa kweli..

YNWA
 
23 dakika mtu mzima anaongoza mbili ..Mara paap mzigo unasoma 2-2

Wapi Salaha leo....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Msitufokeee

Tutawakera Hadi mfe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lile goli la Kwanza alilofungwa like Shati lenu pale golini ..kitaalamu linaitwajeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…