Kwan hamna timu nyingine?Carabao mwaka wetu?
Huwa hatujadili timu nyingine...Kwan hamna timu nyingine?
Hivi King huyu Thiago kila nikiangalia mechi anazocheza ni kama sio staili yetu ni kama anachelewesha mashambulizi touches, turn offs zinakua nyingi sana na huku kuchelewesha quick attacks..Thiago back in full training
Keita back in full training
Good News
Boy shouldn't defend he ain't cut out for that role...Dawa ya injuries imepatikana...
Ile tackling halfu jamaa mzima hahaha.. wakat hua anaumia hata akilala na aote anakimbizwa...
stay fit Naby... Tufaidi thunder goals.View attachment 1990643
Huwezi kusema tunamtegemea mtu mmoja wakati scoresheet ina salah, mane, jota, firmino, keita hadi fabinhosisi atutegemei mtu mmoja kama litimu lenu ilo bila salah amjui kucheza sisi ad kepa anafunga sasa endelea kuangalia anguko la mchezaj mmojammoja ss tukiwa tunakusanya point3 nyie kuku january mtaiona ngumu salah atapotimkia afconView attachment 1989444
Sent using motorola 78
Achana nao mkuu...CHELSEA wamekosa hoja...waliweka mategemeo makubwa kwa lukaku...matokeo yake amewaangusha hafungi...KWAHIYO KIPOZEO CHAO DAIMA NI KWAMBA HAWAMTEGEMEI MFUNGAJI MMOJA...HOJA MFU KWA WATU WAFUHuwezi kusema tunamtegemea mtu mmoja wakati scoresheet ina salah, mane, jota, firmino, keita hadi fabinho
Simtank ni mtumishi hewaAchana nao mkuu...CHELSEA wamekosa hoja...waliweka mategemeo makubwa kwa lukaku...matokeo yake amewaangusha hafungi...KWAHIYO KIPOZEO CHAO DAIMA NI KWAMBA HAWAMTEGEMEI MFUNGAJI MMOJA...HOJA MFU KWA WATU WAFU
Bwana wee kumbe gemu kali zina kuja kwa kasi ya 5G...
Yeah pep yuko vizuri akiondoka Klopp jamaa achukue mikoba. Ukisikiliza press zake jamaa yuko fresh na ku under klopp amepata madini ya kutosha.Unaona aje hata siku akisema anahitaji kupumzika 2028 basi msaidizi wake Pep Lijinders achukue mikoba mazima... Nimekua nikimtazama sana na ni dhahiri huyu bwana ana sifa ya kua Meneja mzuri akipewa mazingira safi ya kufanya kazi..
YNWA
Hivi King huyu Thiago kila nikiangalia mechi anazocheza ni kama sio staili yetu ni kama anachelewesha mashambulizi touches, turn offs zinakua nyingi sana na huku kuchelewesha quick attacks..
Itakua powa Klopp atumie kama super sub pale ushindi tushapata...
YNWA
Ulimsikia akizungumza press conference ya kabla ya mechi ya Carabao anasema...... "quality of our front three, we said they look like raptors in Jurassic Park" .Yeah pep yuko vizuri akiondoka Klopp jamaa achukue mikoba. Ukisikiliza press zake jamaa yuko fresh na ku under klopp amepata madini ya kutosha.
Can't say otherwise yaani Thiago ni bonge la MF pure Pep style la kwa hili la kua defensive minded sioni akichomoza aisee huku ukizingatia almost klabu zote alizopita hili ilikua sio moja ya kazi yake kuu..Ni aina ya Mchezaji wa Pep's style yani Tiktaka. Kwa hii Klopp's style ya attack with defensive minded ni ngumu sana kwake kuadapt nayo! Huenda ikachukua muda au ikamshinda kabisa.
Mido Watakaofanikiwa ni wale watakaotokea Academy na kupata coaching ya Klopp at early age kama Jones.