Mkuu hao Man U,kwa namna walivyocheza Jana nimeona Kabisa tunachukua point pale kiulaini sana maana ukutawetu sio wa kitoto na tunafunga sana,Man U kila mechi lazima aruhusu goli tu, yaani ni wabovu sana na wachezaji wake ni wavivu balaa maguire ukimkaba kwa nguvu unachukua mpira.
Hana maneno mengi jamaa yetu mbali ubao wa matokeo unaongea aisee bila shaka tukumbushane ni 5 bila...Analoga nini huyu kocha?
Pamoja Mkuu.Asante mkuu ila hapana kwa style hii ntazoea tabia mbaya ya kuomba omba. Vuta allfootball ni rahisi sana
Mkuu me niliyajua hayo mkuu Man U huwezo wake kwa sasa ni mdogo sana na wachezaji wake hawajitumi wanaanza kumlaumu kocha [emoji3]
Hivi si kulikuwaga na kelele za Klopp out, ziliishiaga wapi?Hana maneno mengi jamaa yetu mbali ubao wa matokeo unaongea aisee bila shaka tukumbushane ni 5 bila...
YNWA
Pole sana mdau,naelewa na napata hisia kwa hali unayopitia nasi kwa heshima yako tumekusamehe na kuamua kukutunzia trademake yako mpaka wakati mwingineSorry piaAsante sana mkuu. Kuanzia leo umepanda cheo weka GIF zoote. Hii iwe trademark yako pia hasa humu wasikose uhondo wa magoli matamu kabisa
Usione hivi nachat daah kipigo cha leo kinaumaaa goli tano nyingi sana