Jota akitokea pembeni kidogo huwa anakuwa na uhai aise.Mkuu hii combination ya Bobby na Jota niaje aisee..
Hua nawaona kama hawana speed ki vileee design ya Mane na Salah..
YNWA
Kwa kweli kumbe huyu ni LW..Jota akitokea pembeni kidogo huwa anakuwa na uhai aise.
Numbisa unaitwa huku..Numbisa.....tunahitaji alama zako huku...... ur trade mark 😁😁😁
Hendo anamuhitaji sana Fab3 mkuu maana naona milner anakimbia kimbia tu though Jones kwenye kukaba pia hajawa mzuri sana.Tunapoteza sana pasi kutokea nyuma kwa mabeki..
Regards
Definitely bila Fabinho pale kati panapwaya sana..Hendo anamuhitaji sana Fab3 mkuu maana naona milner anakimbia kimbia tu though Jones kwenye kukaba pia hajawa mzuri sana.
Hhahahah kulalekiiJaman tunafanya mauwaji ya kimbalu OT
Jamaa yupo vizurii sana klop anamjulia na sahivi nyota yake imeng'aaaKEITA bonge la Mchezaji