Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Salah misimu aliyocheza EPL hajafikia hata Nusu ya Misimu ya Drogba lakini amebakisha magoli 9 kufikia magoli yote 104 aliyofunga Drogba kwenye EPL.

Next season Salah will be Top African Scorer of all time kwenye EPL iwapo ataendelea kubakia EPL, na Mane will be in second position.

Pia Salah ataweka Rekodi ya kuwa Top European Scorer of all Time kwa Liverpool Players rekodi ambayo inashikiliwa na Steven Gerrard.

Then utasikia Salah auzwe! Ridiculous
 
Kweli lakini pia ukificha moshi moto utakuumbua mimi naona klopp
Awe mkali kidogo Team iende
 
Points za Newcastle tunazikumbuka kweli lakini Kati ya Chelsea na Leicester mmoja wapo lazima atupishe.
Na usijeshangaa tukamaliza nafasi ya 3 badala ya 4.
Dah! kweli mkuu nilikuwa sijaona kumbe mnagame tatu mkononi, basi Leicester Europa panamuhusu labda mfanye ajizi.
 
Chief, you and I both know LFC - year in and year out - relishes and thrives on these types of situations.

Having annihilated Manure last nite, why not going the whole way now chief?
 
Kweli lakini pia ukificha moshi moto utakuumbua mimi naona klopp
Awe mkali kidogo Team iende
Sio kwamba si mkali mbali hapendi kufanya kazi hizo kwa kuzinufaisha media.

Yeye anafanya kazi kimya kimya huko vyumbani wala sio mpaka media wapate headlines.

Tangu ilivyotokea ile ya Henderson pale OT na Klopp akaipotozea na Henderson alikua na msimu mbaya ndio nikasema Klopp ni level zingine. Haya mambo hata Fergie, Mourinho, Conte, Mancini hawavumilii.

Mane atakua ananilaumu alipo.

Maisha yanakwenda kasi tumerejea tena kwenye mix ya UCL.

YNWA
 
Chief, you and I both know LFC - year in and year out - relishes and thrives on these types of situations.

Having annihilated Manure last nite, why not going the whole way now chief?
Its was sweet Man thrashing Manchester United kwao and 4 goals no joke. By thier standards they are having a cool season hivyo kuwafunga wakiwa in that form speaks volume where we wonna finish the season.

Now we are in very delicate situation as we have to pray for others to lose while we win all our games...

All in all am positive despite all the challenges we have faced most likely we are finishing the season on high note.

YNWA
 
kweli makocha wengi huwa attitude ya kupanick fasta klopp nadhani hapa Mane ndio kaumia zaidi maana jamaa anajua kucheza na akili za wachezaji
Kwakweli tulipata kocha mzuri hapa
 
kweli makocha wengi huwa attitude ya kupanick fasta klopp nadhani hapa Mane ndio kaumia zaidi maana jamaa anajua kucheza na akili za wachezaji
Kwakweli tulipata kocha mzuri hapa
Klopp mwenyewe alisema akiwa mchezaji alikua na emotion swings zaidi ya Mane 😂😂😂yaaani alisema my goodness i wish you saw me when i was a player haha akimaanisha ali behave weird at times kama hakuridhiswa na tabia za mwalimu na pengine hii ndio inamfanya ku keep in check his emotions inapotokea mchezaji ame misbehave mbele ya camera yeye Klopp hua ana chill.

Kocha tunae wala hapendi ligi na wachezaji.

YNWA
 
Liverpool starting XI vs the Baggies

Alisson; Alexander-Arnold, Phillips, R Williams, Robertson; Fabinho, Thiago, Jones; Salah, Mane, Firmino.

Liverpool substitutes: Adrian, Wijnaldum, Tsimikas, Shaqiri, Origi, Woodburn, Clarkson, N Williams, Koumetio.


YNWA
 
Huyu kocha hata ichangamsha hii tim kwa kusajili maana anaogopa waliopo hahaaa kama mchezaji akivimba yeye ananywea ni hatari sana kwa kiongozi
 
Liverpool hii bhana hata siielewi elewi ikikaribia kuifikia top 4 inagongwa na kakibonde tutashuka daraja sooon
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…