Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nafikiri ni 50/50 blame. Ila kutoka january - march klopp anabeba lawama regardless of injuries ila huwezi kua na phillips bado unaweka hendo na faby cbs. Baada ya kuwasajili kabak na davies huku una phillips ambaye alishacheza mechi 3-4 kwa kiwango kizuri ila bado tu unakomaa faby & hendo beki za kati.

Ila hii April mghj aisee kuna mechi players wametuangusha sana tu. Mf. Mechi vs Madrid (2nd leg) leeds na newcastle hapo huwezi kumlaumu kocha kwa ujinga wa kukosa magoli ya wazi.

Kama tungekua na front three ya misimu miwili nyuma msimu huu bado tungefanya vyema.

Bado binafsi nina imani na klopp ile high line inahitaji watu kweli kweli hasa hasa CB wenye attributes zote za cb.

Tunahitaji 3-4 signings... ili kurudi kwenye track. Natamani tuqualify Europe league sijui kwa nini hasa ila natamani tuende huko.
Lazima Alaumie sasa anaonaje makosa mechi ya kwanza hafu anayarudia mechi ijayo?

Guardiola atabaki juu yule ni mwalimu si msimamizi Starling mechi kadhaa hachezi na tim inasonga mbele na ndio Sala wao kule.
Njo kwa Klopp sasa amkose Sala ndo inakua kisingizio chake.

Foden keshakua Woldclass na ameazishwa huku tunamuona

LEAGUE ITABAKI KUA YA GUARDIOLA MPAKA AONDOKE.
 
Magoli yatafungwa tu hata yasi fungwe na mtu mmoja ila yatafungwa.

Jota nimfungaji mzuri zadi cha ajabu amepotea ghafla nnamashaka Salah anawaroga wenzie.😂😂😂
Firminho hata awe na goli hafungi.
Hivi mnaotaka asicheze hamuoni hata pasi anazo toa?
 
Lazima Alaumie sasa anaonaje makosa mechi ya kwanza hafu anayarudia mechi ijayo?

Guardiola atabaki juu yule ni mwalimu si msimamizi Starling mechi kadhaa hachezi na tim inasonga mbele na ndio Sala wao kule.
Njo kwa Klopp sasa amkose Sala ndo inakua kisingizio chake.

Foden keshakua Woldclass na ameazishwa huku tunamuona

LEAGUE ITABAKI KUA YA GUARDIOLA MPAKA AONDOKE.
Mkuu ungetulia kwanza mbona ungeandika vizuri.
 
Lazima Alaumie sasa anaonaje makosa mechi ya kwanza hafu anayarudia mechi ijayo?

Guardiola atabaki juu yule ni mwalimu si msimamizi Starling mechi kadhaa hachezi na tim inasonga mbele na ndio Sala wao kule.
Njo kwa Klopp sasa amkose Sala ndo inakua kisingizio chake.

Foden keshakua Woldclass na ameazishwa huku tunamuona

LEAGUE ITABAKI KUA YA GUARDIOLA MPAKA AONDOKE.
Mkuu hiki unachosema hapa ni SAHIHI ASILIMIA 100 ndugu. Hili limesemwa na wana Kops wengi tangu Klopp ametua limekua likisemwa mara nyingi mpaka lakaleta makundi wengine wanajiita Halisi nk.

Iko hivi ili ku compete with the best unahitaji bench la kueleweka na sio benchi la Klopp pale Anfield.

Klopp ameshinda makombe yote yake kwa vile 1st 11 wake walikua kwenye ubora wao bila kuadhiriwa na majeruhi kama ilivyo sasa.

Wale 1st 11 wake sio robot they are fresh and blood hivyo wear and tear have catch up now ndio maana unaona Mane na Firmino combined magoli 15 EPL hawana. Tazama pia assist za TAA na Robbo zimepungua sana hivyo wamechoka wako hoi kucheza last 3 seasons bila kupata muda wa kupumzika na ukumbuke Klopp ni muumini wa high intensity football hivyo wachezaji kucheza kama Unit lazima working very hard.

Sasa kwa Pep kila nafasi ina wachezaji wawili na wote moto na wengine ni multi purpose players ambao wanacheza nafasi zaidi ya moja kwa mfano Rodri, KDB, Gundogan nk..
Hivyo kwa upana wa kikosi Pep will conquer and conquer na hilo mwenyewe alisema Mansour riches enables them to get the best talent to supplement the squad.

Haya maneno Klopp sio muumini wa kikosi kipana yamejadiliwa sana humo na yeye mwenyewe likamshuka January 2021 akijitoa ufahamu na kusema maamuzi ya kununua wachezaji sio yeye mwenye say ya mwisho alisema yeye anawapelekea majina kazi inaishia hapo angalau kuropoka kule kulimsaidia akaletewa Kabak na Davies.

Muda utasema ndugu kama kweli FSG wapo serious na kumpa sapoti mwalimu kwa kikosi kipana sio hii bench ya sasa kituko.

Tazama benchi ya Manchester City Fernandidho, Silva, Mahrez, Ake, Stones, Mendy, Aguero nk yaani baadhi ya hao wangekua Liverpool ni 1st 11 😂😂😂.

Sasa tazama benchi la Liverpool tuna Milner, Jones, Origi, Rhys, Ox, Keita, Tsimikas, Phillips, Shaqiri nk yaani hao kwa one game magic wanakupa raha aafu wanapotea msimu mzimaaaa hawaonekani tena aiming for the course.


We need quality over Quantity.


YNWA
 
Lazima Alaumie sasa anaonaje makosa mechi ya kwanza hafu anayarudia mechi ijayo?

Guardiola atabaki juu yule ni mwalimu si msimamizi Starling mechi kadhaa hachezi na tim inasonga mbele na ndio Sala wao kule.
Njo kwa Klopp sasa amkose Sala ndo inakua kisingizio chake.

Foden keshakua Woldclass na ameazishwa huku tunamuona

LEAGUE ITABAKI KUA YA GUARDIOLA MPAKA AONDOKE.
Klopp aaminicho kimemgharimu msimu huu,.
1. Kuamini kwenye kikosi cha kawaida na kidogo.
2. Kuamini kwenye mazoezi.
 
Magoli yatafungwa tu hata yasi fungwe na mtu mmoja ila yatafungwa.

Jota nimfungaji mzuri zadi cha ajabu amepotea ghafla nnamashaka Salah anawaroga wenzie.
Firminho hata awe na goli hafungi.
Hivi mnaotaka asicheze hamuoni hata pasi anazo toa?
ety anawapiga misumari??
 
Oyaaa nyie kuku ..mlipigwa na wale nyumbu? Naona mpo mpo tu
Nimegundua we jamaa ni boya kinoma, huna taarifa na wala hujui kutafta taarifa, unakimbilia JF as if hakuna vyanzo vingine vya taarifa

Hujui hata game haikuchezwa? Na kelele zote unazopiga humu kumbe uko mtupu kichwani?
 
Nimegundua we jamaa ni boya kinoma, huna taarifa na wala hujui kutafta taarifa, unakimbilia JF as if hakuna vyanzo vingine vya taarifa

Hujui hata game haikuchezwa? Na kelele zote unazopiga humu kumbe uko mtupu kichwani?
Kwani game haikuchezwa mkuu? Dah Nini kimetokea Hadi game kutochezwa? Au ndo Mambo ya superliga ..

Sema Nini Kama ikichezwa nipigieni zile nyumbu maana hata UEFA msimu ujao hampo
#CFC
 
Kwani game haikuchezwa mkuu? Dah Nini kimetokea Hadi game kutochezwa? Au ndo Mambo ya superliga ..

Sema Nini Kama ikichezwa nipigieni zile nyumbu maana hata UEFA msimu ujao hampo
#CFC
Leo ndio nimeamini kuwa wewe kenge unashinda migodin na sururu kupasua mawe ...

Huna unalojua kuhusu ulimwengu wa soka kwa sasa ,shukuru jf tu
....


Sasa kama ulikuwa hujui hata lililotokea Jana OT harafu unakuja kutuvimbia wanaume kuhusu mpira ,wewe si takataka ...


Nikikuwa najua matakataka ni man u kumbe hata wewe ni bonge la taka aisee.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom