Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Sad Man.kama wangeli mtaka mane tungewapa aise FGS katika kosa wasijekufanya ni kumuuza SALAH wasithubutu kabisa. Kupata mshambuliaji wa kuoffer goal anazofunga Salah EPL kwa sasa ni ngumu sanaaaaaa.
Kwa FSG walivyo ukute kwa Salah wanapata zaidi ya akina Mane na kwa vile wa policy ya sell to buy wanona huyu ndio mwokozi wao.
Will be sad kuona Salah akitolewa aisee huku kwa kweli pamoja na madhaifu yake magoli yake lazima tukumbali yametuweka kileleni.
Pia ni moja wa wachezaji wasiopata majeruhi mara kwa mara kwa mfano Salah asajiliwa dirisha moja Keita lakini mpaka sasa Salah amecheza zaidi ya gemu 190 huku Keita akicheza 93 tu.
Yajayo yanatisha.
YNWA
