Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapana chezea Big Sam....

Hawa bado sana presha ya kukaa pale hawawezi kuhimili.

YNWA
I said right from the beginning of the season and I have been saying the same weeks after kwamba our biggest threat was always going to be Pep. Ni vile tu sisi wenyewe tushajichanganya hapa kati.

Hawa kina Rodgers, Ole, nk - they don't have what it takes to cruise a team through a title run-in phase.
Come April, am 100% certain they'll all spectacularly collapse. Pin this post and come back in May to challenge me!
 
Recently tumekuwa na gundu na wachezaji kutoka Bundesliga.
We sign them with fanfare but they end up disappointing us.
Maybe he 👇 will reverse that ugly trend but so far he has been extremely underwhelming (am not disappointed though because he didn't have my vote to join us, so...).

 
Kwa upupu wa beki inayoongozwa na Henderson, bora wapumzike tu milner/tsimikas acheze kushoto na neco acheze kulia
 
Kwa upupu wa beki inayoongozwa na Henderson, bora wapumzike tu milner/tsimikas acheze kushoto na neco acheze kulia
Mtoto Pendwa wa Klopp sasa kimya zile sifa zake tukishinda sasa hakuna ajabu hata lawama hapati zinapelekwa kwa wengine yeye wala haguswi.. Utawasikia tunamkosa Hendo pale kati ndio maana tunapigwa, wengine tunakosa kiongozi pale nyuma ndio maana tunapigwa sasa unajiuliza huyu kiongozi bora Hendo ni kiongozi tu akiwa MF...

Kwa Neco na Milner mara zote walivyopata dakika walipwaya kwenye kushambulia yaani hapo tu ndio wanakwama defensive wise walicheza poa na kama unavyojua TAA nae defensive wise yupo weak tazama Leicester walivyotumia upande wake goli la 3 kwa walijia weakness yake na Kabak hayupo upto speed mikiki ya EPL...

Liverpool tukicheza kama unit wala hakuna wa kutizuia na pia hata mapungufu haya ya mchezaji mmoja hua hayaonekani kwani opposite side wanakua hawapati muda wa kupanga yao jambo ambalo kwa sasa tumechemka.

We need luck to go past the tricky RB guys...

YNWA
 
Challenging Manchester City is not a walk in the park, hawa Stretford boys waliongoza ligi wakaanza na kuota ubingwa bila kutazama nani anawakimbiza kimya kimya....

Pep is the best kwa sasa mapema wengi waafiki hili itakua powa sana kupanga namna ya kumshusha pale kwa mipango.

Come May Pep ndio bingwa wengine tupambane kubakia UCL spot.

YNWA
 
Chamberlain ondoa, Chelsea isingemchukua nuksi huyo. Alishawahi kusema akiwa Arsenal kuwa anaichukia Chelsea ndani ya damu yake, sasa boga kama huyo tumpeleke wapi
 
Pamoja na yote mim liverpool bado ninawahesabia ...

Tukiwakimbiza kama point 15 mbele clear hapo kidogo nitakuwa napumua kwa amani ...

Man utd sina wasiwasi nao kabisa ...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…