Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,471
- 32,922
Duuh kweli tulikotoka panatisha mno wachezaji enzi kuja team ya nafasi ya 7 mpaka 10 ilikua ishu sana kuwavuta wengi walitugomea kwa vile hatukua na UCL lakini leo hii mpaka wachezaji kama Mbappe tunatajwa kuwataka kweli maisha yanakwenda kasi 5G...Captain kama huyu alicheza na mabeki wa kati kama Skirtel na Kaygriakos.
Alicheza na mabeki wa pembeni ka Arbeloa na Emily Insua.
Alicheza na Viungo kama Lucas Leiva na Jordan Henderson.
Alicheza na Washambuliaji kama Voronin na David Ngog.
But still alimanage kutupa chochote kupitia jitihada binafsi.
Wakati wa shida yeye ndiyo anashika hatamu ya mapambano.
Huyu Captain hakupata bahati ya kucheza na Liverpool ya kina VVD, MANE, SALAH, ALISON, FABINHO, TAA na ROBBO.
Ongezea Liverpool Wajinga na Liverpool Historia., sijui ndugu zangu King Ngwaba nan@Don Clericuzio wapo kundi gani kati ya haya
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hapo Liverpool tutoe mkuu, Man City nampa chance kubwa zaidMim binafsi naamin title contenders mpaka sasa ni
Liverpool na man city
Full stop
Swala la utd kubeba EPL ,akili inakataa kabisa ,
Mim binafsi naamin title contenders mpaka sasa ni
Liverpool na man city
Full stop
Swala la utd kubeba EPL ,akili inakataa kabisa ,
mirror na daily mail ni wazee wa kuchochea moto.
Ile sinema ya CEO michael zorc vs klopp ilimalizika kwa talaka
sijui hii ya FSG itakuwaje.
============
Some frank home truths from Klopp who says:
He strongly recommended signing centreback. Was told no money by Liverpool owners. They will not change stance on signings despite poor form. He won't 'cry like a baby' because he doesnβt get what he wants.
Aseno, chelsea na everton watoe.Washabiki wenzangu hivi munajua kuwa Mathematically sisi tupo nafasi ya 6?
Sasa subiri Everton ashinde kiporo kimoja tu kati ya Viporo vyake Viwili.
Na Spurs ashinde kiporo chake kimoja.
Sasa katika hizo Timu 6, mbili kati yao Man City na United lazima zimalize wa kwanza na wapili, nafasi za kugombea Top Four zimebakia mbili tu Yani 3 na 4.
Sasa kwenye nafasi hizi za 3 na 4 wafuatao ndiyo wanazitaka:-
Leicester
Everton
Spurs
Liverpool
Chelsea
Arsenal
Timu 6 hizo wanazitolea macho nafasi ya 3 na 4 unadhani hapo tutamshusha nani?
Kazi tunayo.
Angalia huyu takataka..
HahahahaAngalia huyu takataka..
umeongea ushabiki tu apoMkuu sijui unautazama mpira katika angle gani lakini sidhani kama Mchezaji kutoka Timu moja anapimwa kwa Timu nyengine!
Hivi unajua kuwa DIOGO JOTA alikuwa wa kawaida pale Wolves na hakuwa na namba kwenye kikosi cha kwanza bali alikuwa mchezaji wao wa FA?
Lakini alipokuja Liverpool kawa vipi? Si kawa mchezaji wetu wa kumtegemea.
Kwahiyo hata huyu Jota angeenda Chelsea pengine angefeli na tukasema mbovu.
Werner ndiyo ameshindwa kuadapt na Chelsea, Je una uhakika angekuja Liverpool angekuwa Failure pia? Are you sure?
Mimi naamini Werner ni Mchezaji mzuri na anadeserve kucheza Liverpool na angekuja Klopp angeweza kummanage na aka-adapt na Timu/Ligi.
Klopp kutomnunua Werner si kwasababu ni Mjanja kajua kuwa atflop, bali ni Bei na Maslahi binafsi ya mchezaji hasa Mshahara na Bonuses tu ndiyo zilizowakwamisha FSG kumnunua.
Suala la Management ya kocha kwa mchezaji inasababisha mchezaji kupotea! Hivi unadhani Brendan Rodgers angeendelea kuwepo Liverpool leohii tungekuwa na Firmino? Ulishasahau kuwa Rodgers alimpoteza Firmino na kumfanya kama Molinga? Je Firmino alikuwa mbovu? Tumshukuru Klopp kwa kumfufu Firmino na kumrudisha mchezoni jambo ambalo hata kwa Werner ana uwezo wa kulifanya na akawa tishio.
Lampard anamuua Werner
Lampard anamuua Harvertz
Lampard kamuua Joginho
Lampard anauwa Makipa
Lampard ana poor management kwa Wachezaji, Mchezaji kama Harvertz si wa kushindwa kucheza EPL but ameshindwa.
Hivyo Werner ni Mchezaji mzuri but amekosa Coaching tu.
Mashabiki wa Man u tuna balaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Washabiki wenzangu hivi munajua kuwa Mathematically sisi tupo nafasi ya 6?
Sasa subiri Everton ashinde kiporo kimoja tu kati ya Viporo vyake Viwili.
Na Spurs ashinde kiporo chake kimoja.
Sasa katika hizo Timu 6, mbili kati yao Man City na United lazima zimalize wa kwanza na wapili, nafasi za kugombea Top Four zimebakia mbili tu Yani 3 na 4.
Sasa kwenye nafasi hizi za 3 na 4 wafuatao ndiyo wanazitaka:-
Leicester
Everton
Spurs
Liverpool
Chelsea
Arsenal
Timu 6 hizo wanazitolea macho nafasi ya 3 na 4 unadhani hapo tutamshusha nani?
Kazi tunayo.
Liverpool hii hii inayo struggle kuwafunga Fulham, West Bromwich, Newcastle, Southampton, Burnley, Brighton bado unaiweka kwenye Title Race Mkuu ,Timu inayochezesha Midfield CB Liverpool hata Top 4 kuipata itakuwa mbinde.Mim binafsi naamin title contenders mpaka sasa ni
Liverpool na man city
Full stop
Swala la utd kubeba EPL ,akili inakataa kabisa ,
Pamoja na yote ,ukiangalia vizur kwa jicho la tatu ,Liverpool bado wanacheza kibingwa ,ukilinganisha na mbinu za kocha mzoefu klopLiverpool hii hii inayo struggle kuwafunga Fulham, West Bromwich, Newcastle, Southampton, Burnley, Brighton bado unaiweka kwenye Title Race Mkuu ,Timu inayochezesha Midfield CB Liverpool hata Top 4 kuipata itakuwa mbinde.
AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU.
umeongea ushabiki tu apo
Unahangaika sana mkuu,tittle contenders hawana goli hata moja kwa mwezi? πππMim binafsi naamin title contenders mpaka sasa ni
Liverpool na man city
Full stop
Swala la utd kubeba EPL ,akili inakataa kabisa ,