Yaani wewe inabidi tukukamate kwenye nyuzi za watu kama hivi.Sahau kuhusu droo. Leo Mou anashusha kipigo tu.
Kuna siku nilikwambia hili vumbi likitulia kila mtu atakaa anapokaa siku zote. Kufungwa na Antwerp na draw na Ludogorates ilitakiwa kukuthibitishie.