Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Inanikumbusha Vin alivyoodoka Manchester City wakajikuta katika hali kama hii...

Gemu zifuatavyo ni ngumu kwetu kwa hali tuliyonayo pale nyuma..
Vs Leicester
Vs Wolverhampton
Vs Crystal
Vs Tottenham.
Vs Ajax
Vs Atalanta
Vs Newcastle.

Tunahitaji malaika walinzi wawalinde vijana wetu wasiumie tena kwa kweli..

YNWA

Game na leicester hiyo inaweza kutoa picha kamili ya mapungufu tulionayo ya kukosekana kwa baadhi ya wachezaji .
 
Hao Madogo wapewe nafasi tu hakuna namna
Tupo vizuri tutembee kifua mbele.

No fear man Hahaha..

Mido ya Gini, Henderson na Jones au Gini, Henderson Jota imefanya kazi nzuri sana na kuwarahihishia mabeki kazi kwani mashambulizi yanazimwa kabla hayafika kwao ambayo kimsingi ndio idea ya Klopp kucheza high line ili kusiwe na pockets na pale hata upinzani wanafanikiwa kupenya basi inakua ni unit defence utamuona Mane yupo kwenye 18 yetu kuchukua mpira na kuanza mashambulizi...

Kazi inakwenda vizuri kabisa.

Huu ubingwa tukae mkao wa kushangalia..

YNWA
 
Tupo vizuri tutembee kifua mbele.

No fear man Hahaha..

Mido ya Gini, Henderson na Jones au Gini, Henderson Jota imefanya kazi nzuri sana na kuwarahihishia mabeki kazi kwani mashambulizi yanazimwa kabla hayafika kwao ambayo kimsingi ndio idea ya Klopp kucheza high line ili kusiwe na pockets na pale hata upinzani wanafanikiwa kupenya basi inakua ni unit defence utamuona Mane yupo kwenye 18 yetu kuchukua mpira na kuanza mashambulizi...

Kazi inakwenda vizuri kabisa.

Huu ubingwa tukae mkao wa kushangalia..

YNWA

Binafsi ile draw vs Man City ilinipa courage sana ya kuamini kwamba ubingwa ni wetu kupoteza.

Nachoomba tu Faby na Thiago warudi.

Game ya Leicester tutashinda, mpaka tunafika Januari tutakuwa tunaongoza ligi kwa points chache kati ya 6 mpaka 9.
 
Noma sana aisee!

Tukiweza ku negotiate successfully hadi January tukabaki ndani ya top 4 and stay within say 5 points from the summit, nina uhakika tutapindua meza kuanzia February maana majembe mengi yatakuwa yasharejea dimbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom