Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

. Nitajie unaowajua wako saqa kiviwango na Trent dogo anacheza vibaya mno aondoke jk ndo utajua Liverpool c chochote
Rashford huo mkataba wa Pauni laki mbili kwa wiki kapewa lini na akiwa katika Umri gani? Greenwood? Ansu fati ? Saka ? Nketiah? etc etc etc


Liverpool labda tatizo letu mishahara ya juu katika Club haiendani na soko la sasa ambalo Big Clubs zimeshafikia kulipa wachezaji hadi Pauni laki tano kwa wiki Ilihali Liverpool mpaka Leo hakuna Reports za kuwahi kumlipa mchezaji walau pauni 250,000 kwa wiki
 
. Nitajie unaowajua wako saqa kiviwango na Trent dogo anacheza vibaya mno aondoke jk ndo utajua Liverpool c chochote
Mishahara ni ishu ya umri umetumikia mwajiri kwa muda gani, una experience ya miaka mingapi

Licha ya form ya Trent Kimpira huwezi ukasema kwamba Trent anao uzoefu wa Ligi kuliko Milner au Shaqiri
 
Baada ya Aston Villa kumfunga Liverpool 7:

Everton waliingia na Matokeo yao Mkononi kuwa na wao wataipiga nyingi Liverpool

Ajax wakagain confidence kuwa na Matokeo mfukoni ya kuifunga Liverpool

Haters wakabeba Matokeo yao mfukoni kuwa Liverpool itafungwa na Everton pamoja na Ajax,

Hatimae wote hawakuamini kilichotokea.

Tujifunze kuto kubeba Matokeo mfukoni
 
Liverpool lost 7-2 to Aston Villa
👇​
Aston Villa lost 3-0 to Leeds
👇​
Leeds lost 1-0 to Wolves
👇​
Wolves lost 4-0 to West Ham
👇​
West Ham lost 2-0 to Newcastle
👇​
Newcastle lost 3-0 to Brighton
👇​
Brighton lost 3-1 to Chelsea
👇​
Chelsea lost 2-0 to Liverpool.

👉 Maybe it really is the league in which anyone can beat anyone.

👉 Tujifunze kitu hapo
 
Baada ya Aston Villa kumfunga Liverpool 7:

Everton waliingia na Matokeo yao Mkononi kuwa na wao wataipiga nyingi Liverpool

Ajax wakagain confidence kuwa na Matokeo mfukoni ya kuifunga Liverpool

Haters wakabeba Matokeo yao mfukoni kuwa Liverpool itafungwa na Everton pamoja na Ajax,

Hatimae wote hawakuamini kilichotokea.

Tujifunze kuto kubeba Matokeo mfukoni
Acha kijipa moyo kijana

Saizi epl hakuna mbabe


Liverpool ni wa kawaida sana

Man City ni Wale Wale

Chelsea, Man Utd, Arsenal, Spurs

Zote ni timu ambazo zinaweza pigwa na yeyote

Epl saizi ni kupinduana tu mjanja atachukua ubingwa, wala sio kukalili sijui City, liverpool wala nin
 
Huo ndio ukweli.
Msimu huu kila mtu kaota mapembe.
Hii inatokana na kukosekana mashabiki uwanjani.
Acha kijipa moyo kijana

Saizi epl hakuna mbabe


Liverpool ni wa kawaida sana

Man City ni Wale Wale

Chelsea, Man Utd, Arsenal, Spurs

Zote ni timu ambazo zinaweza pigwa na yeyote

Epl saizi ni kupinduana tu mjanja atachukua ubingwa, wala sio kukalili sijui City, liverpool wala nin
 
Manchester City kakamatwa sare na the Hammers...

Ligi ngumu aisee zamani hapa Pep kashachukua pointi zake 3 mapema...

YNWA
Nimeitazama hii mechi kwa kweli Manchester city wapo hovyo, Wanavyocheza hujui goli watafunga muda gani City hawa press tena wanapiga useless pass muda wote......Sijui kwanini Pep anamuamini Sterling kwenye Attacking side yake Always amekuwa akimcost sana kwenye missing chances.
 
Nimeitazama hii mechi kwa kweli Manchester city wapo hovyo, Wanavyocheza hujui goli watafunga muda gani City hawa press tena wanapiga useless pass muda wote......Sijui kwanini Pep anamuamini Sterling kwenye Attacking side yake Always amekuwa akimcost sana kwenye missing chances.
Wazidi kukamatika hamna namna aisee...

Hawa Hammers wamekuja kivingine msimu huu...

Tunao wekedi ijayo..

YNWA
 
LIVE MUDA HUU: ITAZAME MECHI YA MAN UNITED VS CHELSEA LIVE KUPITIA SIMU YAKO BOFYA LINK HII


Brother wacha usumbufu hizo Timu zina majukwaa yao nenda kawapostie huko usituletee Spam zako hapa.

Halafu kama mpaka mwaka huu 2020 bado unadhani Watu hawajui wapi wanaweza kupata App au Link ya kuangalia mechi itabidi urudi Shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom