Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool players salary per week
Salah £200,000

Thiago £200,000

VVD £180,000

Firmino £180,000

Henderson £140,000

Milner £140,000

Keita £120,000

Chamberlain £120,000

Matip £100,000

Fabby £100,000

Mane £100,000

Allison £90,000

Jota £90,000

Shaqir £80,000

Gini £75,000

Taikumi £75,000

Nathaniel £70,000

Origi £60,000

Kostas £60,000

Adrian £55,000

Robertson £50,000

Trent A £40,000

Gomez £28,000

Neco £25,000

Keller £15,000

Jones £7,500

Billy £7,500

Sepp £7,500

My take
Over paid players
Shaqir
Chamberlain
Keita
Milner.

Under paid
Mane
Gomez
Robertson
TAA
Gini
Allison
Fabby

Surely comparing what's Manchester United and Manchester City are paying our is total joke...

Our Allison earns 90k whereas Degea is earning 350k per week.

Gomez akina King Ngwaba tafadhali mmasamehe ana stress ya mshahara....

YNWA
Corrections

Mane is on excess of £ 150,000 pw aliongeza mkataba kipindi watu tulikuwa tuna mashaka na kuongeza mkataba kwake

Gini is on £90,000 pw

Fabinho is on £130,000 pw

Robertson is on excess of £ 65,000 pw



Shaqiri mshahara ni halali sababu ya umri wake

VVD is underpaid

Mane is Underpaid

Robertson also underpaid

Allison is also Underpaid


Overpaid ni Henderson
 
Fabinho ni mchezaji muhimu zaidi kuliko mchezaji yoyote yule na anapaswa kuwa mzima bila ya kuumia kuliko mchezaji yoyote yule kuliko hata VVD, SALAH na MANE.

Post hii huenda ikawatambua wale waliosoma shule dhidi ya walioiba Mtihani private schools.
 
Fabinho ni mchezaji muhimu zaidi kuliko mchezaji yoyote yule na anapaswa kuwa mzima bila ya kuumia kuliko mchezaji yoyote yule kuliko hata VVD, SALAH na MANE.

Post hii huenda ikawatambua wale waliosoma shule dhidi ya walioiba Mtihani private schools.
Hili linafahamika atakaebisha ni Mchawi
 
Kiuhalisia wachezaji wetu wapo pale kwaajili ya Jk 2 Yani mishahara wanayolipwa Ni sawa aston Villa Yani Trent alipwa hela yaajabu tofauti na kazi anayoifanya
 
Kiuhalisia wachezaji wetu wapo pale kwaajili ya Jk 2 Yani mishahara wanayolipwa Ni sawa aston Villa Yani Trent alipwa hela yaajabu tofauti na kazi anayoifanya
Umri wa Trent ni Mdogo ,isitoshe mabeki mishahara huwa midogo ukilinganisha na Viungo au Forwards


Trent hata miaka 23 au 24 bado

Huo mshahara kwake ni sahihi

Tena wenzie katika umri wake wapo kwenye 25k hivi
 
TAA anapewa hela ya kununua Karanga na Boxer tu.
Yaani combined salary ya TAA na Robbo na zile assist zao wanalipwa peanuts kwa kweli...

Hawa Fentway sio watu wa mchezo kabisa..

Kwa staili hii sioni Gini akiongeza mkataba labda Barca waache ule mpango wao wa kumtaka..

YNWA
 
Yaani combined salary ya TAA na Robbo na zile assist zao wanalipwa peanuts kwa kweli...

Hawa Fentway sio watu wa mchezo kabisa..

Kwa staili hii sioni Gini akiongeza mkataba labda Barca waache ule mpango wao wa kumtaka..

YNWA
Gini kama anaondoka namuunga mkono as I believe he's is played out of position by Klopp

Akibaki Liverpool atakuta anastaafu kafunga magoli machache, poor tackle stats etc
 
Corrections

Mane is on excess of £ 150,000 pw aliongeza mkataba kipindi watu tulikuwa tuna mashaka na kuongeza mkataba kwake

Gini is on £90,000 pw

Fabinho is on £130,000 pw

Robertson is on excess of £ 65,000 pw



Shaqiri mshahara ni halali sababu ya umri wake

VVD is underpaid

Mane is Underpaid

Robertson also underpaid

Allison is also Underpaid


Overpaid ni Henderson
Mkuu mkataba wake wa sasa nadhani unaisha 2023 huo unaosema bado hajasain but i stand to be corrected...

Klabu ilimpa ofa ya £220,00 kwa wiki wa miaka mitano na sikumbuki akiusaini huo mkataba ndugu... Na alikua anasubiri Real waje aidha aodoke ama awatumie kama levelage ya kudai mkataba mnono too bad corona ikaharibu mambo...

Gini hawajaongeza walishaanza mazungumzo alikataa ofa yao kwa sababu walimpa miaka 2 yeye anataka mitatu...

Fabby ule mkataba alioingia nao kutoka. Monaco bado hujawa extended..

Robby nae still earning peanuts damn you Werner...

Hahaha ebu muache Le Captain.. Usishangae akapewa tena miaka 3 na mshahara £180k 🔥🔥🔥🔥😀😀😀

YNWA
 
Mkuu mkataba wake wa sasa nadhani unaisha 2023 huo unaosema bado hajasain but i stand to be corrected...

Klabu ilimpa ofa ya £220,00 kwa wiki wa miaka mitano na sikumbuki akiusaini huo mkataba ndugu... Na alikua anasubiri Real waje aidha aodoke ama awatumie kama levelage ya kudai mkataba mnono too bad corona ikaharibu mambo...

Gini hawajaongeza walishaanza mazungumzo alikataa ofa yao kwa sababu walimpa miaka 2 yeye anataka mitatu...

Fabby ule mkataba alioingia nao kutoka. Monaco bado hujawa extended..

Robby nae still earning peanuts damn you Werner...

Hahaha ebu muache Le Captain.. Usishangae akapewa tena miaka 3 na mshahara £180k

YNWA
Henderson anatakiwa awe kwenye £40k hivi
 
Gini kama anaondoka namuunga mkono as I believe he's is played out of position by Klopp

Akibaki Liverpool atakuta anastaafu kafunga magoli machache, poor tackle stats etc
4 3 3 ya Klopp will never get the best out of Gini...

Gini mtazame mechi za timu ya Taifa ndio utajua utamu wake..

Gini, Mane wako very industrious yaani especially Mane when super fit anakupa kila kitu uwanjani aafu ndio analipwa kiduchu vile its not fair...

Mane, Gini siku wakiamua kuodoka wala sina kinyongo nae i Salute em big time..

YNWA
 
Fabinho ni mchezaji muhimu zaidi kuliko mchezaji yoyote yule na anapaswa kuwa mzima bila ya kuumia kuliko mchezaji yoyote yule kuliko hata VVD, SALAH na MANE.

Post hii huenda ikawatambua wale waliosoma shule dhidi ya walioiba Mtihani private schools.
Fabby the bald baddest Brazilian...
Amecheza Brazil Fluminese, Ureno Rio Ave, Real Madrid, Monaco na sasa Liverpool....

Hivyo yupo super loaded maana kote alikopita ni super super football teams..

YNWA
 
Umri wa Trent ni Mdogo ,isitoshe mabeki mishahara huwa midogo ukilinganisha na Viungo au Forwards


Trent hata miaka 23 au 24 bado

Huo mshahara kwake ni sahihi

Tena wenzie katika umri wake wapo kwenye 25k hivi
. Nitajie unaowajua wako saqa kiviwango na Trent dogo anacheza vibaya mno aondoke jk ndo utajua Liverpool c chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom