SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Acha kuongea kama sio mwanamichezo bro.Aliyefaidika ni aliyechukua kombe. Bila hiyo VAR asingechukua.
Ligi ya msimu huu na Corona hii mnacheza bila mashabiki,hamna tofauti ya nyumbani wala ugenini kote ni sawa ,wanaweza kuja Anfield na wakapata matokeo.Everton wakawaida sana,wangemfunga leo liverpool nyumbani kwao ningeona wako vizuri.
Sasa huko nyumbani unashindwa kumfunga anfield pale utaweza maana anfield liverpool msimu wa nne sasa ajapoteza pale anfield.
Everton hii ya msimu huu itakua moto sana. Labda wasiandamwe tu na majeruhi.Everton na Aston Villa ni sawa na Leicester City ya Msimu uliopita.
Wanaanza kwa kasi mwishoni pumzi unakata.
Kumbe ni kamari ndo ilikuwa inakusumbua aisee.Ebwana bet yako bado ipo hai hata kwa hii suluhu? Mi nilimpa Everton
Mkuu punguza mahaba, Everton walicheza game nzuri na wameadhibiwa pia kwa foul walizocheza, usimtupie mpira Refa na vARMkuu ujaangalia mpira wewe everton wakawaida sana mechi ya pale anfield tunawakalisha vizuri sana,msimu ulipita pia tulitoka nao draw hapo goodson park na ubibgwa tukachukua.
Everton wakawaida sana VAR na refa vimewasaidia hawana mpira wowote wa ajabu.
Well then it shouldn't happen from the start. Marefa na VAR it was a match made in heavenAcha kuongea kama sio mwanamichezo bro.
Kwa mujibu wa stats Liverpool haipo hata kwenye top 3 ya timu zilizofadika na VAR. Sasa imekuaje walionufaika nazo kwa mara zaidi hawakubeba kombe? Give credits when it is due.
Na ukweli mchungu ni kwamba ukiondoa mechi zote ambazo unaona kabebwa na VAR bado points zake hazikuweza kufikiwa na yeyote.
Everton hii ya msimu huu itakua moto sana. Labda wasiandamwe tu na majeruhi.
Halisi kama halisi[emoji120][emoji16]Liverpool HALISI tupongeze team mentality leo,kutoka 7-2 down hadi 2-2 ktk derby sio jambo jepesi!
VAR ni sehemu ya mchezo
Tunajipanga sasa kwa mechi ijayo
Ligi ya msimu huu na Corona hii mnacheza bila mashabiki,hamna tofauti ya nyumbani wala ugenini kote ni sawa ,wanaweza kuja Anfield na wakapata matokeo.
Hahaha siyo kamari nilikua na uhakika mtafungwa kwakua kipa ni Adrian ambacho sikujua ni kwamba Everton watakua na komedi piaKumbe ni kamari ndo ilikuwa inakusumbua aisee.
Unadhani kila mechi ina ngekewa eti?Sasa kama walikuwa wanaomba mpira uishe si ungeshinda 7 kama Aston villa
Leo Werner kawekwa kati.Everton hii ya msimu huu itakua moto sana. Labda wasiandamwe tu na majeruhi.
Zile decisions zingekuwa upande wa Liverpool mngepata cha kuimba wiki nzima.Mkuu punguza mahaba, Everton walicheza game nzuri na wameadhibiwa pia kwa foul walizocheza, usimtupie mpira Refa na vAR
Mkuu punguza mahaba, Everton walicheza game nzuri na wameadhibiwa pia kwa foul walizocheza, usimtupie mpira Refa na vAR