SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
Hamna aliyeignore. Bali nyie ndo muliignore ability ya Liverpool kwa kudhani kwamba atakuja jichotea tu points.Sio kwa msaada wa VAR,bali kwa uwezo wa wachezaji na mbinu za kocha wao huwezi kuwa uignore Everton kwa msimu huu sio timu kubeza.
Hate mimi naona sio kwenu nyie FT 2-2 .
Mi nimeangalia Canal + nimeona kichwa cha Richarlson kimegonga mwamba, nimeona Adrian akistruggle kuzuia curved ball ya James, nimeona Refa akiwabeba piaMuwe mnatazama mechi wazee. Au wewe umeangalia kwenye channel tofauti na sisi?
Aliyefaidika ni aliyechukua kombe. Bila hiyo VAR asingechukua.Leta stats za timu zilizofaidika na VAR msimu ulopita then talk again.
Naiheshimu Liverpool hata msimu hii naipa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na hata mechi leo niliamini atashinda,ila Everton msimu huu ana jambo lake hawa jamaa hawa bahatishi wanajua wanacho kifanya.Hamna aliyeignore. Bali nyie ndo muliignore ability ya Liverpool kwa kudhani kwamba atakuja jichotea tu points.
Ebwana bet yako bado ipo hai hata kwa hii suluhu? Mi nilimpa EvertonMmeshaanza kutafuta sababu
Brother hayo ya mbele hamna anaye yajua au umesahau ya juzi na Aston VillaMkuu ujaangalia mpira wewe everton wakawaida sana mechi ya pale anfield tunawakalisha vizuri sana,msimu ulipita pia tulitoka nao draw hapo goodson park na ubibgwa tukachukua.
Everton wakawaida sana VAR na refa vimewasaidia hawana mpira wowote wa ajabu.
Ombeni VVD asiende likizo ya miezi, top 4 mtaisia redioni
Brother hayo ya mbele hamna anaye yajua au umesahau ya juzi na Aston Villa
Hawa jamaa kama leo wameshindwa kuwafunga basi sidhani kama huko mbeleni watatweza tena maana hii derby imekua ya upande mmoja muda mrefu na kipindi hiki Everton yuko vizuri sana nilitegemea washinde kabisa.
So farwamejitahidi sana Ancelloti ana jambo lake msimu huu.
Real problem sio VVD, the real problem ni kukosekana kwa Alisson.
Hata uwe na VVD saba kama golini kuna Adrian basi hutoboi.
Refa akitubeba! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kweli mapenzi ni ulevi. Yani ukachagua vya kuona au sio?Mi nimeangalia Canal + nimeona kichwa cha Richarlson kimegonga mwamba, nimeona Adrian akistruggle kuzuia curved ball ya James, nimeona Refa akiwabeba pia
Naiheshimu Liverpool hata msimu hii naipa nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa na hata mechi leo niliamini atashinda,ila Everton msimu ana jambo lake hawa jamaa hawa bahatishi wanajua wanacho kifanya.
Sasa kama walikuwa wanaomba mpira uishe si ungeshinda 7 kama Aston villaYes moja. Sio tatu. Tena kwa msaada wa VAR. Walikuwa wanaomba mpira uishe.
Ngoja wakikitana na timu kama zenu waendelee kuzawadiwa tatu tatu.
Refa akitubeba! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kweli mapenzi ni ulevi. Yani ukachagua vya kuona au sio?