Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hakika sina shaka hata walakini na timu yangu katika msimu huu..

Jambo linalonipa uhuru wa kutamba pia kwenye majukwaa mengine.

Nakukaribisha kesho ushuhudie ninavyozamisha jahazi la mabaharia wa mjini Manchester..
Last EPL game Kati ya Liverpool na asses iliishaje?

Maana mnabwabwaja wakati you will never even finish in top four
 
Yani mkuu, ktk mashabiki wambea ni hao Arsenal8, hawatulii mjengoni kwao, kazi kuzurura tuu majumbani mwa watu.
Arsenal mna game ngumu dhidi ya City, lakini mshabiki wake unapata nguvu ya kuja kuzomea maadui!
Yani hawa kenge wangefungwa leo mbona ningefanya sherehe!!!
GGMU.
 
Kamata Hawa majogoo chinja kabisa !!!!
Watoto wa goodson park watawanyoosha ,,,, save hii comment !!!

Utabiri !! Mtafungwa zaidi ya goli 2 !

Thiago na matip wataumia [emoji23][emoji23][emoji23]

Mr Ancelot hataki utani ,,,,, !!!!!
 
Furaha pekee niliyonayo leo ni Klopp kusikia Kilio chetu kuhusu Gomez.
Natamani nisimuone tena uwanjani kwa Msimu huu.

Kwenye 7 Adrian ana makosa yake lakini na Gomez anahusika kwa Asilimia 50%.
 
Furaha pekee niliyonayo leo ni Klopp kusikia Kilio chetu kuhusu Gomez.
Natamani nisimuone tena uwanjani kwa Msimu huu.

Kwenye 7 Adrian ana makosa yake lakini na Gomez anahusika kwa Asilimia 50%.
Acha roho mbaya Gomez huyoooooooo ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…