Bado tu unajipa matumainiGame bado mbichi hii sina wasiwasi goli zinarudi
Hahaaaaaaa
Ni vizuri kufarijiana lakini....walisahau msiba ni popote kwa yeyote wakati wowote[emoji3]
Hahahaaaaa. 7--2=5
Ukitoa Salah na Robo .
Hakuna mchezaji mwingine alicheza kitu cha maana kikaoneka wachezaji hawana morali hata kidogo upuuzi .
Firminho ndio kaisha kabisaa hana jipya
Gomez ndo kakumbwa sijui na jini mahaba
Adrian king Ngwaba alituambia ni bora ya Karius ×100 nimeamini leo aise.
Msiba humfika yoyote yuleMsiba haunaga taarifa [emoji1787][emoji1787]
What a shit weekend!!!!!Msiba haunaga taarifa [emoji1787][emoji1787]
Kazi kazi ndugu..Ukitoa Salah na Robo .
Hakuna mchezaji mwingine alicheza kitu cha maana kikaoneka wachezaji hawana morali hata kidogo upuuzi .
Firminho ndio kaisha kabisaa hana jipya
Gomez ndo kakumbwa sijui na jini mahaba
Adrian king Ngwaba alituambia ni bora ya Karius ×100 nimeamini leo aise.
7-2 kwa tabu?? Unless sijaelewa màna yako halisiTumecheza vizuri hilo halina ubishi! Hata ukiangalia ushindi wa Aston Villa basi wameshinda kwa Tabu sana.