Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Mimi nina tabia ya kukariri tabia na uwezo wa Mtu katika kufanya jambo.
Tokea msimu wa 2013/14 Rodgers alipotukosesha Kombe kijinga kwenye vs Chelsea ambayo hakuwa na chakupoteza basi nimeamini kuwa kamwe hawezi kuipatia Timu yoyote mafanikio unless spate Timu kama Celtic iliyokuwa haihitaji ubora wa kocha kushinda Ligi bali nguvu yake ya kiuchumi tu ukilinganisha na Timu nyengine ndiyo inampa mafanikio.
Hata mwanzo mwa huu msimu ambapo baadhi ya Washabiki walijiaminisha kuwa Leicester ni title contender basi nilipinga na kusema mwisho wa msimu Rodgers atagombania Top Four.
Rodgers Timu aliyonayo haina uwezo wa kushindana na Timu za Top Four kwahiyo anapoingia uwanjani kupambana nao anapaswa awe na Plan B ya defensive minded lakini yeye akili hizo hana.
Huyu mjuba sitakaa nimsamehe ile game ya Chelsea.
Hatukuwa na sababu ya kutafuta ushindi wakati droo inatulinda.
Unapeleka timu mbele unamwacha Gerrard peke yake! That was very bad approach.