This has been with us for a long time...
Tukumbali tukatae we are in the decline..
Na njia murwa kabisa ku spice mambo ni kuleta new additions klabuni...
Kwa mfano bila Robertson na Milner hatuna backup wa uhakika kushoto zaidi ya Gomez ambae yeye hung'ara zaidi pale kati kuliko pembeni... Milner miguu imechoka hawezi leta mashambulizi kama Robertson...
Kua na ball possession bila kuleta magoli is useless... Jana we tried all alikosekana Shaqir, Lallana na Salah and yet tulitoka kapa..
Kloop need a serious overhaul otherwise tujiadae kwa maumivu msimu ujao...
Kutokana na matokeo ya jana we need 5 points to win the EPL...
Hopefully vs the Eagles 🦅 tufanya kweli zibakie pointi 3...
YNWA
Kwa City hii ninayoiona hapa vs Burnley, mzee baba tushinde mechi zetu tu tusisubiri wao ku draw ama kufungwo..City anacheza kabla yetu na baada yetu.
Akifungwa tukashinda .it's over.
Aki draw tukashinda it's over
Akishinda tukashinda halafu akafungwa .
Tutakuwa mabingwa kabla hatujacheza tena
Msimu ujao hamutatoboa raundi ya kwanza mutakuwa na arsenal uko mukigombania nafasi ya saba au ya nane ivi..
Kuna wezekano mukubwa mukanyang'anywa tonge mdomoni..Kwa City hii ninayoiona hapa vs Burnley, mzee baba tushinde mechi zetu tu tusisubiri wao ku draw ama kufungwo..
YNWA
Hahahaha buraza wacha izo mambo aise... mimi natumia kijiti tu situmiii kitu ingine oote..Kuna muda huwa kuhusu dawa unazotumia, then nakumbuka kwamba uko Chuga.
Siyo tatizo lako.
Mkuu Ollachuga Oc habari za Arusha mzee...Kuna wezekano mukubwa mukanyang'anywa tonge mdomoni..
City ana wazoom tu..
CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Hahahaha buraza wacha izo mambo aise... mimi natumia kijiti tu situmiii kitu ingine oote..
CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
mmmmhMAN CITY BINGWA
Leicester nao sijui walipatwa na nini tu? Nawaangalia tu hapa wanavyo struggles, Vady na Madson leo hawana tofauti na akina lacazette 2[emoji1]
Kweli but ngumu sana Chelsea kumfunga cityIkitokea Chelsea akashinda game ya City, gape litabaki point 1 tu kati yao.
Naona kabisa ambavyo anaenda kuikosa namba 3.
Kweli but ngumu sana Chelsea kumfunga city
[emoji1787]Kweli ni ngumu, ila hizi dakika za kuelekea mwisho wa msimu wanaotafuta top 4 na kutoshuka daraja wanakuwa watata sana.
Tulia ivyo ivyo city anakalishwa vizuri tu..Kweli but ngumu sana Chelsea kumfunga city