Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


City anacheza kabla yetu na baada yetu.
Akifungwa tukashinda .it's over.
Aki draw tukashinda it's over
Akishinda tukashinda halafu akafungwa .
Tutakuwa mabingwa kabla hatujacheza tena
 
City anacheza kabla yetu na baada yetu.
Akifungwa tukashinda .it's over.
Aki draw tukashinda it's over
Akishinda tukashinda halafu akafungwa .
Tutakuwa mabingwa kabla hatujacheza tena
Kwa City hii ninayoiona hapa vs Burnley, mzee baba tushinde mechi zetu tu tusisubiri wao ku draw ama kufungwo..

YNWA
 
Kuna wezekano mukubwa mukanyang'anywa tonge mdomoni..

City ana wazoom tu..

CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Mkuu Ollachuga Oc habari za Arusha mzee...

Ki ukweli ingekuwa utofauti ni pointi 10 aisee ningekua na wasiwasi mno maana kiwango cha Citi kimerudi aisee ni kama vile walikua wanafanya mazoezi kimya kimya kwenye lockdown 🤣🤣🤣🤣....

Hili la ubingwa wasahau ndugu labda msimu ujao....

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…