Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Mkuu hili janga limetingisha mpaka tunakosa burudani Kwa muda wote huu...Mimi nataka game 2 tu tumalizane na ubingwa, maana hii Corona imetisha sana.
Mpaka sasa ingekua mwali ametulia Anfield..
Angalau EPL wameamua kuchukua risk ligi iishe bila mashabiki na kuchukua tahadhari zote Kwa wahusika watakao kuwa uwanjani..
Sasa Juni ligi inarejea tukamilishe tulichokusudia...
Kuna gemu za burudani vs Citizens, vs Everton, vs Les Blues, vs Gunners..... Bring them...
YNWA