Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Msimu uliopita, mlituambia kwamba msimu huu tutapata tabu.
Sasa mzee huoni hata utofauti wa hupatikanaji wa hizo treble mfano super cup you only need one match kuwa crowned ,cwc you need two matches ukitokea uerope bado huoni treble ipi ni ngumu kupata kuliko nyenzake u cant be serious unless unabisha usichokijua.Hicho cheo cha "trebel yenye heshima" kimetolewa na body gani officially?
Definition ya heshima ni nini? Je mtu akishinda Champions League, Super Cup na Club world Cup sio trebel ya heshima? Na kama utasema sio ya heshima je ni kulingana na kanuni zipi zilizopitishwa na nani?
Fabinho has lost all his defensive qualitiesSure Mkuu that a done deal...
Chipping easy goals boys losing position passes like its a new team...
Watching the games and 1st 30 minutes I see we are losing man tulishasahau haya mambo...
It's must have been hard for the other big six man losing games now and then... Sisi hapa game 2 tu and its feels like we have lost the season lol losing is scary and stressful...
Now Klopp bring back the happy times...
YNWA
Mkuu umetumia akili kufikiri au umekurupuka tu?Sasa mzee huoni hata utofauti wa hupatikanaji wa hizo treble mfano super cup you only need one match kuwa crowned ,cwc you need two matches ukitokea uerope bado huoni treble ipi ni ngumu kupata kuliko nyenzake u cant be serious unless unabisha usichokijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na sisi mzeeMkifungwa mnaanza kuongea kigalatia(English)..mashabiki wa liva bhana!!!



Hicho cheo cha "trebel yenye heshima" kimetolewa na body gani officially?
Definition ya heshima ni nini? Je mtu akishinda Champions League, Super Cup na Club world Cup sio trebel ya heshima? Na kama utasema sio ya heshima je ni kulingana na kanuni zipi zilizopitishwa na nani?
Sasa mzee huoni hata utofauti wa hupatikanaji wa hizo treble mfano super cup you only need one match kuwa crowned ,cwc you need two matches ukitokea uerope bado huoni treble ipi ni ngumu kupata kuliko nyenzake u cant be serious unless unabisha usichokijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulivyommbeya lazima ufatilieHuu uzi ni wa Liverpool hauhusiani na huyo mwizi wenu opss usichanganye mpira na mambo ya kijinga
Wewe ulivyommbeya lazima ufatilie
Nani alikuambia kuwa tulitegemea trebel? Je kulikua na official statement kutoka katika club kuhusu hilo jambo?Kumbe unajua dhihaka zinauma ee uliposema 20th ulikua unadhan sio ushindi ule au? Msimu huu mlitegemea treble ikiwemo na epl ili kupata heshima zaidi. Pigania kwanza taji la EPL usije kupovuka zaidi mkuu.
Nani alikuambia kuwa tulitegemea trebel? Je kulikua na official statement kutoka katika club kuhusu hilo jambo?
Je ukibishana na shabiki mmoja huko mtaani kwenu ndio una conclude maoni ya mshabiki wote na club kwa ujumla?
Wewe furahia kuwa hatutashinda tena trebel lakini usianze kusema tulitegemea trebel msimu huu ili kupata heshima zaidi. Heshima tunayo kama mabingwa wa Ulaya, mabingwa wa dunia na soon to be mabingwa wa England.
Sijui nyie mna nini. And btw mimi siumizwi na mpira maana naufahamu vizuri na pia kejeli zako au dhihaka haziwezi kuniumiza. Nilikuwa naweka facts ziwe sawa tu kuhusu hilo la 20th century.
Basi mkuu aki comment mtu mmoja humu au wawili usi conclude kuwa ndio maoni ya kila mmoja. Labda uwe specific kuwa member fulani alisema hivi ama vile ila usi generalize maoni ya mtu mmoja au wawili ukayafanya yawe ya wote. Sawa bro?Huu uzi una vituko,mashabiki wa humu humu mlikua na ndoto hizo. The invincible, treble now mtu mmoja unaanza kuleta za official announcement toka kwa club,tangu lini klabu ikaleta mambo ambayo wanatakiwa kufanya mashabiki.
Mkuu ukikosa taji la HESHIMA unalilisubiria kwa hamu usije ikana hii comment yako na kusema hakuna official statement toka kwa klabu kuhusu taji la EPL.
Basi mkuu aki comment mtu mmoja humu au wawili usi conclude kuwa ndio maoni ya kila mmoja. Labda uwe specific kuwa member fulani alisema hivi ama vile ila usi generalize maoni ya mtu mmoja au wawili ukayafanya yawe ya wote. Sawa bro?
Kama nilivyotabiri ndio imekuwa hajazungumzia mahusiano yake Hadi sasa zaidi ya kutambulishwa kuwa ambassador wa kampuni ya coral paints wammbeya Hadi sasa wameumbukaSina huo muda nasubiria misukule mlete summary niwatoe mapovu
Kama nilivyotabiri ndio imekuwa hajazungumzia mahusiano yake Hadi sasa zaidi ya kutambulishwa kuwa ambassador wa kampuni ya coral paints wammbeya Hadi sasa wameumbuka
Team yangu naiamini sana kuwa inaweza kufanya lolote kushinda makombe yote. Lakini pia najua mpira una matokeo matatu kushinda, draw na kufungwa. Na najua kuwa hakuta team isiyofungwa hata ikiwa bora namna gani kuna siku itafungwa so masuala ya invicibility na mengine ni bonus tu.Acha ubishi kijana kama hauiamini timu yako kuwa the invicible na kupiga makombe mengi kwa wakati mmoja basi ni wewe usitake na wengine wasipige hizo ramli.
Bro!!ooh waaow aiseee ndo maana haueleweki unabisha nini. Do some research mkuu,avatar hauioni?