Keita kwenye pecking order ya Klopp ni second au third choice.
Ndiyo maana hampi nafasi kihivyo kama first na second choice wake wako fit.
But you still have a chance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Keita kwenye pecking order ya Klopp ni second au third choice.
Ndiyo maana hampi nafasi kihivyo kama first na second choice wake wako fit.
But you still have a chance.
Sent using Jamii Forums mobile app
At least kidogo una ubongo.Binafsi nimejipa 37% kuvuka hatua ya pili.
If it happens tukapita ni bonus kwangu.
Wajina mwakani pagumu,ila kwakuwa mzee Arsene yupo jikoni kule hakuna kitakachoharibika....
Mkuu usipanic....hii ndio maana ya kuwepo haya majukwaa,na jukwaa hili sio la kwako peke yako,kama wewe huendi kule kwa nyumbu kaa ujue kina Penison na King Ngwaba wanaendaga kuwatia njaa...so waache nao wapumue ...Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu
Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana
Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako
Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima
Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini
That is what kina happen kwetu now
Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi
Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week [emoji28]
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva [emoji23]
Team ipo nafasi ya kumi
Utoto ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeh kwahiyo kiboko kimoja tu mtu anasema vyote????kweli huyu sio suguHii ni story tu kama zilivyo story zingine tu,hakuna evidence yeyote ya ulichokiandika hapa,mtu yeyote anaweza kujisifia kama ulivyojisifia wewe,acha utoto ongelea soka hasa game la jana,mambo ya Shule peleka huko huko shuleni kwenu.
Mimi natoa 80% kwa Klopp kuwin hii game,anfield muulize Wenger aiseeh kuna uhuni pale...yaani utapigika tuBinafsi nimejipa 37% kuvuka hatua ya pili.
If it happens tukapita ni bonus kwangu.
They are desperate losersNashangaa kumeibuka kundi kubwa la nyumbu kwenye hii thread tangu tufungwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza nini kimetokea mpaka tumepoteza mechi hii?Binafsi nimejipa 37% kuvuka hatua ya pili.
If it happens tukapita ni bonus kwangu.
Hii NB yako kali sana mkuu.....nimeelewa,Hamjambooooooo, nadhani tutaheshimiana sasa
NB: Liverpool ni chongo kwenye kundi la vipofu.
Binafsi nimejipa 37% kuvuka hatua ya pili.
If it happens tukapita ni bonus kwangu.
kwembe anafungikaga kibwege ivyo?Hamjambooooooo, nadhani tutaheshimiana sasa
NB: Liverpool ni chongo kwenye kundi la vipofu.
Vipi kwa city aliekulaga 6 na Monaco?Umeitia fedheha EPL
Umechezea kichapo kwa watoto wa Spain na kutoka na shot on target Zero!
Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu
Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana
Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako
Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima
Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini
That is what kina happen kwetu now
Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi
Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week [emoji28]
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva [emoji23]
Team ipo nafasi ya kumi
Utoto ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimejipa 37% kuvuka hatua ya pili.
If it happens tukapita ni bonus kwangu.
Tunahitaji natural number 10 kwenye squad yetu this summer hawa akina Keita or OX ni kama tunacheza kamali tu kwenye hiyo position.Nilichoona ni kuwa team inahitaji midfielder runners kama keita ambaye atakuwa na kazi ya kufanya penetrate mipira na kuvunja ngome ya upinzani hasa team kama atletico. Keira mechi kama zile inabidi apewe muda mrefu wa kucheza..
Ni maoni yangu