Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi sio Liverpool ila kwa mpira wanaocheza Atletico halafu ukaangalia Dortmund na PSG ni vitu viwili tofauti goli 1 muda wote hata mashambulizi ya hatari hakuna na Anfield Liverpool kupata goli atapata hvyo hii mechi alitakiwa angalau apate goli 2 au 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivihivi, Atletico wanaangusha mibuyu, halafu Real wanakuja kubeba ndoo.
 
Mimi sio Liverpool ila kwa mpira wanaocheza Atletico halafu ukaangalia Dortmund na PSG ni vitu viwili tofauti goli 1 muda wote hata mashambulizi ya hatari hakuna na Anfield Liverpool kupata goli atapata hvyo hii mechi alitakiwa angalau apate goli 2 au 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa TOFAUTI ya nini wameshapata matokeo unawalazimisha wakuburudishe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi imeisha tukutane uwanja wa mashabiki anfield
ATM wakumbuke tulicho mfanyia fc Barcelona

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom