Iliyo pita na ya leo amecheza na stats zimemfata zenyewe.kwa sababu hiyo umeona magoli yalivyo mengi leo.
Akiendelea hivi tutapata magoli mengi na huenda akawa mfungaji bara tena
'mtindilo'
Wananiudhi ani aah [emoji23]LFC's comments...
Towa huyu ingiza yule.
Yaani FirminoYaaani game moja 3 assists - boby[emoji119][emoji119][emoji114][emoji114][emoji114][emoji119][emoji119]View attachment 1343644
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah hendo for balloon d or [emoji23][emoji23][emoji324][emoji324][emoji324][emoji324]Sasa Hendo kufunga kawaida sana
Best Captain ever to lead modern Liverpool football
Hendo for Balon 2020View attachment 1343736
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahah hapo utakuwa umetisha mkuu unampa najezi kabisa brand kubwa chapa ya Nike..Yaani Firmino
Mtu sana aisee
My second kid if akiwa boy ntamwita
Firminho
Akiwa wa kike nafkiria nimwite firminha au unasemaje mkuu [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivo ngumu kwa atleti kututoa kutokana na muendelezo wao mbaya...ila creative spark alioleta naby kwenye later stages za second half na faby kumove into advanced positions ni kitu ambacho tunakihitaji...passes. ambazo zinacut through lines keeping the ball in offensive areas just excellent from those twoAtletic ipi ya kuitoa Liverpool?
Fabihno hajacheza mechi zaidi ya 10+ EPL zote tumeshinda
Naby hajacheza zaidi ya mechi 15 EPL zote tumeshinda
Kucheza leo vibaya mido haina maana kama ni wabovu,soka lina siku zake hata akina Fabihno kuna siku wanacheza vibaya
Liverpool hii hata asipo cheza Fabihno na Keita hawawezi tolewa na Atletico UCL
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ndio mzigo na roho yako mbayaMkuu kwani kafanya maajabu gani mpaka hiyo misifa anapitiliza au vile alikua hamna kitu kwa hichi kidogo anachapa ndo awe bora?
Tambua anacho fanya sasa ndo anchotakiwa kuifanyia team.
Maajabu mechi ngumu aonyeshe uwezo binafsi afunge goli aisawazishie team kwa ufundi wake nguvu na jitihada zake zile matokeo.
Kwa sifa unazompa sasa inainyesha wazi kua alikua mzigo tu.
'mtindilo'
Hahaha dah hii kauli bana..[emoji23][emoji23][emoji23]Anakukomesha
Dah unazingua mwanangu..Kataahira ka A-Town!
Kwani unataka kusemaje??Philip Coutinho
Emre Can
Louis Suarez
Raheem Sterling
Pepe Reyna
Tunataniana mwanangu! Ila leo chama lako limezingua sana! Mnatokaje draw kizembekizembe!Dah unazingua mwanangu..
Sema nini aina kwere..
#CFC[emoji170][emoji170]
Sent using Jamii Forums mobile app
sio hilo tu tulikuwa tunasajili hata sie kwanini hajanunua flani, siku hizi Klopp hata akitaka kumsajili Pazi humu hakuna ataelalamika atamuaminia tu kama Pazi atakuja kuwa mkali, tehteh! watu walianza oh City inatimu tatu sasa hivi kimya mara oh wachezaji wao wameumia sie wetu ndio hawaumii au? hawawaoni wakiumia kila sababu waseme zote sio hatujali Var sijuiutumbo gani sie tukiona wanalalamika watu ndio furaha kwetu. furaha zao wakitizama Liverpool ni dk 30 au 45 tu, zikizidi 88 ikifika 89-90+ wanatafuta ya kusema.Safari hii klopp katuprove wrong.hakuna cha December wala January.wachambuzi uchwara wameingia mitini maana Liverpool aikamatiki
Sent from my iPhone using JamiiForums