Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Hivi kwa nin fans wengi wa Liverpool ni walevi? Nauliza tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app






dah hukosagi cha kuwachokoza Liverpool Hawa ulevi wamejifunzia kwa Klopp
Hivi kwa nin fans wengi wa Liverpool ni walevi? Nauliza tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app






dah hukosagi cha kuwachokoza Liverpool
Kwamba wakuchangie uende Anfiled au sioKiongozi vipi?umefurahishwa na nini?
mkuu kuna wakati huwa nawaza pengine yule msaidizi wa klop 'the brain' ndiye alikua tatzo la wachezaji kuanza kuchoka kipindi cha dec/jan........
Sent using Jamii Forums mobile app
Imahitaj zaid ya timu bora kuifunga Liverpool hii ya mentality monstersMkuu Everton na Arsenal wamepata walimu wapya..
Tangu Mikel kapewa mikoba pale Emirates wamepoteza gemu moja tu EPL.. Fighting spirits yao imeongezeka sana tu.. Na kingine ni kwamba kila timu tunayokutana nayo wanajitahidi kuweka historia kwamba ndio timu ya kwanza kutufunga msimu huu EPL hivyo kukaza kupo sana tu... Kabla huo uteuzi wa Mikel walikua wanachapika tu..
Na vile vile Carlo nae pale Jirani nae atakua kapoteza mechi moja tu EPL tangu ateuliwe.. Hivyo kuna wanafanya vizuri kuliko kipindi cha Silva..
Timu zote mbili Kwa sasa zina utulivu pale nyuma..
Zitakua mechi ngumu kwetu, cha kuombea ni tuwe na kikosi kamili cha kazi bila majereha...
YNWA
Kwa sababu sio mashoga....Hivi kwa nin fans wengi wa Liverpool ni walevi? Nauliza tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
pia waongea brokenHivi kwa nin fans wengi wa Liverpool ni walevi? Nauliza tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
bila kushahau Anceloti ni mwanaume wa klop anajipigiaga tu uchiMkuu Everton na Arsenal wamepata walimu wapya..
Tangu Mikel kapewa mikoba pale Emirates wamepoteza gemu moja tu EPL.. Fighting spirits yao imeongezeka sana tu.. Na kingine ni kwamba kila timu tunayokutana nayo wanajitahidi kuweka historia kwamba ndio timu ya kwanza kutufunga msimu huu EPL hivyo kukaza kupo sana tu... Kabla huo uteuzi wa Mikel walikua wanachapika tu..
Na vile vile Carlo nae pale Jirani nae atakua kapoteza mechi moja tu EPL tangu ateuliwe.. Hivyo kuna wanafanya vizuri kuliko kipindi cha Silva..
Timu zote mbili Kwa sasa zina utulivu pale nyuma..
Zitakua mechi ngumu kwetu, cha kuombea ni tuwe na kikosi kamili cha kazi bila majereha...
YNWA
wengi wanywaji sio walevi, sasa kitu mboribo mnaraHivi kwa nin fans wengi wa Liverpool ni walevi? Nauliza tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app

tufanyeje? Huyu aliyepigwa bao na vijukuu vya klopp?
Arsenal wakija hawatakuja kwa ajili ya 40 pkts gape. Wao watakuja kuhakikisha hatufikii record yao ya unbeaten...hilo ndo litawapa motisha.Mkuu kama unafatilia mpira hapo ni mechi na man city ndio tumebakiza ,yaani unamuogopa Arsenal? Everton tulicheza nae kwenye carabao sisi kama kawaida tuliweka kikosi cha pili wao walikuwa full mkoko lakini tuliwafunga nakuwazidi kabisa hapo uwanjani.
Kama unafatilia mpira Everton na Arsenal hawana uwezo wakutufunga ata tukichezea uwanja wao,kama tumeshinda nyumbani kwa wolves na leicester sijao timu ya kutusumbua zaidi ya man city hapo .
Mkuu utakuwa umekariri yaani unamuogopa Arsenal ndio atusumbee hicho ni kituko cha mwaka,Arsenal tumemzidi point 40.hii inaonesha Arsenal ni mbovu kupindukia.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kocha wa mweziJanuary
Wednesday 1
Liverpool 2 - 0 Sheffield United
Saturday 11
Tottenham Hotspur 0 - 1 Liverpool
Sunday 18
Liverpool 2 – 0 Manchester United
Tuesday 21
Wolverhampton Wanderers 1 - 2 Liverpool
Wednesday 29
West Ham 0 - 2 Liverpool
100% win 💪
Kuna atakaepona hapo?
Lakini mkuu wape tahadhari wakaze taratibu hizo nut zitavunjika hizo shauri yao! Hii timu sasa hivi haina cha huyu ana kocha bora sasa hivi! We are conquerors of the world!Mkuu Everton na Arsenal wamepata walimu wapya..
Tangu Mikel kapewa mikoba pale Emirates wamepoteza gemu moja tu EPL.. Fighting spirits yao imeongezeka sana tu.. Na kingine ni kwamba kila timu tunayokutana nayo wanajitahidi kuweka historia kwamba ndio timu ya kwanza kutufunga msimu huu EPL hivyo kukaza kupo sana tu... Kabla huo uteuzi wa Mikel walikua wanachapika tu..
Na vile vile Carlo nae pale Jirani nae atakua kapoteza mechi moja tu EPL tangu ateuliwe.. Hivyo kuna wanafanya vizuri kuliko kipindi cha Silva..
Timu zote mbili Kwa sasa zina utulivu pale nyuma..
Zitakua mechi ngumu kwetu, cha kuombea ni tuwe na kikosi kamili cha kazi bila majereha...
YNWA
Ninawasiwasi wewe jamaa muda wote huwa umelewa aise
Ujaelewa nilichoongea, nimeomba kama kuna mdau anaweza nisadia kupata ticket ya second hand maana nimejaribu kucheki nimeambiwa zimeisha. Ninapanga kwenda kutembelea anfield, Hakuna mahali nimeomba mchango aiseeKwamba wakuchangie uende Anfiled au sio