IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,830
- 7,375
Kwa iyo for the past four years according to you hendo has been shitSalute you man all the best man what's a chance to learn more about this game on a professional level and one of the most modern place...
Sky is the limit once you set ua goals kaka who knows you might be a lieutenant at Liverpool probably working at in Ian Graham office...
Well personally am not getting carried away with Henderson form or whatever, he has been shit for the past 4 seasons and yet he could not raise his standards till now...
Class is permanent and form is temporary but surely his form can't be temporary for all this below par seasons he has given us...
Even the pundits lacked proper words to nail his major contribution on the filed and many pointed to how good a leader he is at the dressing room bla bla...
Now his performance is raising eyebrows here and there for something he was supposed to be doing week in week out...
Was Hendo ever serious before I mean did he store this in his locker just to unleash now that the 19th is getting near and near...
Klopp change of set up is favoring him after Fabby injury.. He has bought so well to what the gaffer expect him to excute...
I might be the last person to get convinced by this form we are seeing now.. We have waited for this since time in memorial..
Salah haha he made fans panic jana otherwise we are good... Its one of those nights man...
Our Liverpool thread is getting bigger and busy, I salute those who holla to check us.. Things have changed zamani ilikua Manchester United lol nowadays imekua worse than where we were last 10yrears.. Wakati ni wetu.....
YNWA
Me kinachonishangaza, iv anapokua na mpira huwa hawaoni wenzake wanapokua kwenye position nzuri za kufunga!!!Issue ya Salah, kukosa magoli tuione Kama issue ya timu si yake peke yake, you can't be good all the time
[emoji28][emoji23]Sasahivi naweza kusimama popote na kujiproud kuwa Hendo ni Captain Wangu
Huyu ndiye Captain tunayemtaka
Kwa nini hautaki tumkosoe salahBut kinachosikitisha Zaidi sasahivi Washabiki wa Liverpool wamegeuka wa Real Madrid.
Washabiki wa Madrid hawana utamaduni wa Kuappreciate yale yanayofanywa na Wachezaji wao.
Gareth Bale ameifanyia Makubwa Real Madrid lakini cha ajabu muda huu wanamtreat kama kwamba hakuwahi kufanya chochote ndani ya Liverpool.
Sasahivi na Washabiki wa Liverpool tumekuwa hivyo! Yani Salah anaonekana kama kwamba haisaidii chochote Liverpool na Mtu asiye na thamani yoyote.
Mfano jana katika goli la ushindi build up imetokana na Salah kuweza kumiliki mpira mbele ya Mabeki 3 mpaka akatokea Henderson akatoa assist, but anaonekana he did nothing.
Traore
Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.
Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.
Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?
- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?
Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?
Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.
Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.
EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.
Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.
Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.
Kw
Kwa iyo asipokuwepo tuna shinda??
Fainali ya Uefa nayo hakucheza???? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe Jamaa niliwahi kukwambia unashida, na leo nakwambia tena unashida brother.
Nadhani kwenye huu Uzi ni wewe pekee u ayeamini kuwa akiwepo mchezaji Flani unaweza kushinda au usishinde.
Hivi kuna Mchezaji Duniani anayefikia hata nusu ya ubora wa Messi?
- Je hakuna game ambazo Messi anacheza na Barcelona ikafungwa?
- Je hakuna mechi ambazo Messi hajacheza na Barcelona ikashinda?
Je umewahi kuchagua games hizo za Barcelona na ukasema Barcelona ikiwa haina Messi ndiyo inashinda?
Mbona tumecheza na Manure bila ya Salah tukatoka Sare lakini alipokuwepo Salah tumewafunga 2 - 0 hilo hujalitolea mfano?
Yani leo ni zaidi ya Mara ya 5 umekomalia hizo mechi 2 vs Barcelona na Everton utadhani ndiyo mechi pekee Liverpool walizocheza.
Hapa tulikuwa tukimponda Henderson lakini hatukuwahi kusema kuwa Asipocheza Henderson ndiyo tunashinda au Akicheza yeye tunafungwa! Acha hizo brother! Mlaumu tu mchezaji lakini hiyo kusema angecheza mechi Flani tusingeshinda hayo siyo maneno ya Kimpira kabisa.
EPL tumecheza michezo 23 na mchezo mmoja ambao hakucheza ndiyo tumetoa sare je kuna aliyelizungumzia hilo? Coz ni useless stat.
Badilika Brother sasahivi kila Mtu yupo positive na Timu.
Sasa Wewe endelea kuamini kuwa Akicheza Salah hatushindi kwasababu alikosa mechi na Barcelona huenda ikawa kwenye Champion League ndiyo mechi pekee hiyo tuliyocheza na kubeba ubingwa.
Umeandika vizuri na sahihi. Lengo points 3. Mimi kafunga nani wala sina habari hio. Salah ni mchezaji mzuri na muhimu na kutokuwepo kwake uwanjani si habari njema kwangu. ila mimi binafsi ananiweka roho juu. Km umeangalia game ya juzi na wolves, ivi kutompa mpira Minamino ilikuwa sawa? Akalazimisha kufunga sehemu ambayo kiuhalisia si rahisi kufunga.Mimi kwangu cha muhimu ni matokeo kwa sasa, hayo mengine sijui kafunga fulani na fulani hajafunga siyo sehemu yangu kabisa, mwaka jana tulikuwa twafunga magoli mengi tu na huyo Salah alifunga ya kutosha tu, lakini tulipokwamia ni Mungu mwenyewe anajua, akina Aguero hawakufunga sana lakini wakanyanyua makwapa, sasa hivi akina Salah na mane hawafungi sana, Akina Aguero wanafunga kila mechi lakini timu yao inazidiwa points 16 na mchezo mmoja mkononi ambayo sasa ni sawa na points 19. Mimi nataka magoli ya ushindi hata kama ni moja na haijalishi kafunga nani. Hata akifunga Becker la ushindi kwangu mm liverpool imeshinda na imechukua points 3 muhimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
lucasssss...View attachment 1333349
Kwa iyo for the past four years according to you hendo has been shit
Did you ever for once ask your self why Jk amemtumia constantly for the four years He's been the manager?
Kwa nini hautaki tumkosoe salah
Kama tulimkosoa hendo why not salah
Kwa nini mkuu
Namu appreciate salah
Lakini wewe huoni tatizo au umeamua ukae kimya tu ubishe mkuu ama [emoji18][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app