Hem jiulize na wewe nini kimempa hii tuzo?ni ile asist ya man city au ya Bonomuth au uwepo wake tu uwanjani imetosha kumpa tuzo?Nimecheka hapo kwenye washindani wake ,
Ila hii tuzo ilikuwa ya TAA kabisa
Mnadharau nyie ,ina maana Rashford hapo kwa salah haingii ? Maguire je [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hem jiuliHem jiulize na wewe nini kimempa hii tuzo?ni ile asist ya man city au ya Bonomuth au uwepo wake tu uwanjani imetosha kumpa tuzo?
Hivi jamani kwanini hamtuelimishi sie tusiojua mpira tukajua majukum ya Hendo na anavyo tekeleza?
Kiukweli mechi zote nilizo angalia Hendo akiwa nje team hua inachangamka zaidi katikati kuliko anapo kwepo labda mnifundishe namna ya kutazama mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnadharau nyie ,ina maana Rashford hapo kwa salah haingii ? Maguire je [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapana hawez kumuweka bench VVD , bas hata Gomez ?Bro, unataka Maguire amweke benchi VVD?
Hapana hawez kumuweka bench VVD , bas hata Gomez ?
Huwezi kujua majukumu yake, in short hayajulikani na hayaelezeki.
Hapana hawez kumuweka bench VVD , bas hata Gomez ?
Nafatilia sana , Gomez yupo moto sana kwa sasaMkuu huyo gomez ndio wamoto kwa Sasa kwenye mechi 10 mashindano yote aliyocheza (zilizopita) tumefungwa goli 1 tu,epl hapo mechi 6 mfululizo hatuja ruhusu hata goli moja ,hayo yote Baada ya gomez kurudi.wanaofatilia mpira mkuu kwenye gomez hakuna ubishi,hao man u kelele tu za mashabiki na kujisifia kwakuwa wapo wengi lakini hawana timu hao. Wamebakiza jina tu hao ,wanaishi kwa mazoea tu Sasa ,mpira unachezwa uwanjiani watu wanaona.gomez ni kisiki kwa sasa.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Klopp kajifunza meng msimu uliopita baad ya kumuachia Clyne, kukawa hamna backup yake jambo lililopelekea kugawana point kijinga kbs na foxes kule kingpower
Klopp kajifunza meng msimu uliopita baad ya kumuachia Clyne, kukawa hamna backup yake jambo lililopelekea kugawana point kijinga kbs na foxes kule kingpower
Any predictions Kwa game against pogba FC?
I don't see clean sheetFull time:Liverpool 3 man United 0.
Sent from my iPhone using JamiiForums