Cha chuga hakikufai mkuu, yaani katika game 17 zilizobaki liver ashindwe kushinda game 10? Unakichaa wewe
Cha chuga hakikufai mkuu, yaani katika game 17 zilizobaki liver ashindwe kushinda game 10? Unakichaa wewe


Cha chuga hakikufai mkuu, yaani katika game 17 zilizobaki liver ashindwe kushinda game 10? Unakichaa wewe
Wewe ni kichekesho kwetu, mimi binafsi huwa post zako nimezi-classify kama comedy.



sasa iv itabid niwe siriyazi.Kiki ya nin ..kiki nipeleke wapi?Naona unatafuta Kiki Kwa pikipiki
Kwani kuna kinachoshindikana? Unaeza shangaa uka draw zote..Cha chuga hakikufai mkuu, yaani katika game 17 zilizobaki liver ashindwe kushinda game 10? Unakichaa wewe


KwikwikwikwiiiiKwani kuna kinachoshindikana? Unaeza shangaa uka draw zote..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaleta ki hallluuufuu halluuufu haluufu
Salah alishakuwa superstar kitambo tu...hata Mane uko kwako Kila mtu alimjua..


Maisha ya mpira sio ya kuwa siriyaz sana mkuuSiyo rahisi, sema wasiokuelewa huwa wanakumind kinoma.





Maisha ya mpira sio ya kuwa siriyaz sana mkuu
Mimi nazinguaga tu..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa kabisa mkuu...Mimi binafsi nakuelewa sana, utani kwenye sports ni kawaida. Sema sasa wewe kuna muda mtu kama hajakufahamu anaona unazingua sana.
Poa, na chelsea akashinda zote na kubeba ndooKwani kuna kinachoshindikana? Unaeza shangaa uka draw zote..
#CFC
Sent using Jamii Forums mobile app