Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawa madogo wasipokuwa makini tutatandikwa na hawa majamaa... Adrian kaokoa mara tatu sasa angalia magoli ya wazi kabisa
Hapo anatakiwa amwingize Ox na Mane haraka sana tutapigwa pamoja na Ku-dominate game!
 
Kama Mkataba unaruhusu basi Grujic aitwe haraka hii January kabla hatujawa Laughing Stock.

√ Keita injury
√ Fabinho injury
√ Milner injury
√ OX gari la Mkaa

We've only Two Midfielders ambao ni Hendo na Gini kwasasa ndiyo wapo fiti.

Tunamuhitaji Grujic kuliko wakati wowote ule.
 
Kama Mkataba unaruhusu basi Grujic aitwe haraka hii January kabla hatujawa Laughing Stock.

√ Keita injury
√ Fabinho injury
√ Milner injury
√ OX gari la Mkaa

We've only Two Midfielders ambao ni Hendo na Gini kwasasa ndiyo wapo fiti.

Tunamuhitaji Grujic kuliko wakati wowote ule.
Fabinho is back in training
 
Kama Mkataba unaruhusu basi Grujic aitwe haraka hii January kabla hatujawa Laughing Stock.

√ Keita injury
√ Fabinho injury
√ Milner injury
√ OX gari la Mkaa

We've only Two Midfielders ambao ni Hendo na Gini kwasasa ndiyo wapo fiti.

Tunamuhitaji Grujic kuliko wakati wowote ule.
seriously, madhara ya game nyingi tulizocheza yanaanza kuonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7304.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom