Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
April 2017, Liverpool lost at Anfield against Crystal Palace.
April 2017, Liverpool lost at Anfield against Crystal Palace.
Mechi iliisha ngapi ngapi mkuu?
Sent from my iPhone using JamiiForums
We jamaa utateseka Sana
Mateso unayopitia lazima yakuweke pabaya! Unateseka sana!
Hawa saa wanataka kuwavalisha madella vijana wetu!Hii ikiwa kweli itakua kama ile Kit enzi kit sponsor ni CandyView attachment 1312438
Hivi wew kilaza una nin cha kunitishaMateso unayopitia lazima yakuweke pabaya! Unateseka sana!






Sina muda na vilaza kama nyie hamjitambuiWe jamaa utateseka Sana


kutwa kuandika paragraph humKilichokupitisha hapa nini wewe mjusi usiyekuwa na haya wewe? Mwaka huu mpaka mnyooke!Hivi wew kilaza una nin cha kunitisha
Liverpool timu ya shangaz yako au
Sent using Jamii Forums mobile app
United mbona hujawataja hapo? Au sio tishio tena kwa reds?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sasa kama huna muda, humu wasumbuka nn?Sina muda na vilaza kama nyie hamjitambui
kutwa kuandika paragraph hum
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unataka tukupe pesa mkuu
Forum ya baba yako hii,Kilichokupitisha hapa nini wewe mjusi usiyekuwa na haya wewe? Mwaka huu mpaka mnyooke!



ukute hili jamaa linakaa kwa shemeji linasubil ugali harafu linavimba hum Umeamua kuwa na beef na mashabiki wa timu inayoshinda kila match? JF ikufute u-mod huna maadili ya kazi, nagutombele nokho nashike'aha!Forum ya baba yako hii,
Unanunua bando langu hadi unipangie
Hivi liverpool inatoa wap haya matakataka hayajitambui ,yapo yapo tu,mazuzu flan hivi
ukute hili jamaa linakaa kwa shemeji linasubil ugali harafu linavimba hum
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli kwa mwandiko wake huo anaweza kupewa u-moderator? Huyo sio PainKiller ni Pain Killer kuna tofauti na moderator ni PainKiller ambae ID yake haina space in between.Umeamua kuwa na beef na mashabiki wa timu inayoshinda kila match? JF ikufute u-mod huna maadili ya kazi, nagutombele nokho nashike'aha!
Hata mimi nilikuwa najiuliza Mara mbili mbili kumbe ni pumbavu fulani hivi! Linaiga mpaka ID? Bure kabisa, yaani lilikosa ubunifu mpaka likakopi kila kitu! Asante kwa kunifumbua mkuu!!Mkuu kweli kwa mwandiko wake huo anaweza kupewa u-moderator? Huyo sio PainKiller ni Pain Killer kuna tofauti na moderator ni PainKiller ambae ID yake haina space in between.
Naona unateseka tuSina muda na vilaza kama nyie hamjitambui
kutwa kuandika paragraph hum
Sent using Jamii Forums mobile app