Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Daglish?? Bora ungenyamaza usitutie aibu washabiki wa Liverpool.

Sikulaumu! Huenda ukawa unamkubuka Sir King Kenny akiwa kocha wa Liverpool mwaka 2011 ambapo pia hakufeli kwani msimu wake huo mmoja pia alitupatia Carling Cup (Now Carabao).

Bas nimewachanganya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
without VAR, baada ya game # 18 bado tungekuwa na 6 points above ManCity and 13 above Leicester with a game in hand.

Manure would be languishing in the 11th berth rather than the 5th which they're enjoying now thanks to VAR..... so they should shut the "F" up!!


 

Siwaangaliagi hao
Naangalia mostly ESPN FC


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Henderson been so good for us for the past few weeks (month or so) & i'm a fan now.


But, huo MCHANGO mkubwa wa Henderson for the last 4 years ni upi??


Lets discuss this..

Sent using Jamii Forums mobile app
Serious hujui mchaango wa Henderson kwa kipind Cha nyuma na wakati no ewew mwenyewe Kuna comments uliongelea alivyokuwa na misimu Bora Kati 2013 -16!!? Au ulikuwa unamaanisha Nini!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serious hujui mchaango wa Henderson kwa kipind Cha nyuma na wakati no ewew mwenyewe Kuna comments uliongelea alivyokuwa na misimu Bora Kati 2013 -16!!? Au ulikuwa unamaanisha Nini!!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tutumie tu akili!
Hivi miaka minne iliyopita mchezaji gani wa Liverpool alikuwa na mchango wa maana hadi huyo jamaa yako kusema miaka minne iliyopita Hendo hakuwa na mchango wowote?
Miaka minne iliyopita kocha ni BR Liverpool ilikuwa trash team!

Liverpool imekuja okolewa na Klopp na sasa ndiyo tunaona kumbe Hendo ni mchezaji wa ukweli alikosa tu kocha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Citizens in their form can't win UCL hao bookmakers wameliwa....

Hahaha its home bhana 13 points caution a game in hand with trash Hammers...

Pep ana roho ngumu ushindi wa jana kwao he celebrated like he has catch up with us...

Ogopa sana anaekutangulia kua na amani na utulivu hata akiongoza Kwa goli moja hapainiki anacheza mpira wake... Kwa sasa we blood and skin EPL best relaxed team... No matter who we face the boys keep its very cool kushinda mechi Kwa 1 goal margin and yet we keep positions kama jana without panicking is serious big up to Klopp and his Coaching bench...

Andrea's Kornmayer our fitness and conditioning coach we got from Bavarians naona kazi yake inaoneka sasa . Na pia mshauri Wa vyakula na diet Kwa jumla Mona Nemmer hakika tunawasukuru... vijana wako vizuri Sana pumzi ipo na kutoka Doha na kuedeleza hii ari ya ushindi ni habari njema sana kuelekea January na February ambapo pana mechi nyingi nyingi..

Salute the defence coach pia especially when defending corners huyu atakua Neil.. We have improved in loads zamani when corners were being taken we couldn't know what formation they used mara diagnol man to man lol ila sasa boys are well drilled..

YNWA
 
Swali labda iwe kuulizia ushindi wa V.A.R unavyofanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuifunga liver unapaswa uifunge liver na kuifunga VAR kwa wakati mmoja, hapo ndio shida ilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…